Christian Eriksen : Sitaki Kukaa Benchi

Aliyekuwa nyota wa Tottenham, Christian Eriksen  ameweka wazi kuwa hataki tena kuendelea kukaa benchi katika timu yake ya sasa ya Inter Milan.

Christian Eriksen alikamilisha uhamisho wake kutoa Tottenham kwenda Inter mapema mwezi Januari, na tangia hapo hajakuwa akipewa namba kikosini mara kwa mara. Suala hili limekuwa likimvunja moyo sana na ameamua kufunguka juu ya kile anachokitarajia msimu huu.

Katika mkurano na waandishi wa habari Eriksen amesema kuwa kwa msimu huu hatarajii kuwepo nje ya uwanja msimu mzima, na sio kitu ambacho anakitaka, na anaamini kuwa siyo kitu ambacho klabu ingekitaka

Christian Eriksen : Sitaki Kukaa Benchi
“Kuna matarajio makuibwa dhidi yangu, watu walidhani ningefanya tofauti katika kila gemu, lakini haikuwa hivyo. Hivyo wananiangalia kwa jicho tofauti” -Christian Eriksen

Baadhi ya ripoti kutoka Itlia zinasema kuwa nyota huyu aliikataa nafasi ya kuhamia Bundesliga baada ya kukataa dili la mkopo kwenda Borusia Dortmund. Lakini Ericksen mwenyewe anasema haelewi ukweli ni upi katika hilo kwa kuwa hakuzungumza kitu chochote na wakala wake.


 

Weka Pesa kwa Airtel Money!

Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!

Soma Zaidi

32 Komentara

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Totenham ilifanya mistake kumuacha fundi kama huyu sasa inter wanafaidika na huduma safi ya kiungo huyu

    Jibu

    Alifany makosa makubwa kuondok spurs naona chamoto anakiona ndani inter milan co erikson angerud nyumban kumenoga

    Jibu

    Jaman wampe nafas na yy asikae bench

    Jibu

    Totenham ilifanya mistake kumuacha fundi kama huyu sasa inter wanafaidika na huduma safi ya kiungo huyu

    Jibu

    inter nao wanakosea kama waliona hana msaada wowote na timu walimchukua wa nini

    Jibu

    Mashabiki tunashukuru kwa makala nzuri

    Jibu

    Eriksen anaweza potea mapema sana kwenye ulimwengu wa soka

    Jibu

    Benchi linaboa. Jmn.

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Nikweli anacho kisema kiungo huyo kusugua benchi mudi inashuka yakimpila wamfikilie nae awe anapangwa kwenye kikosi

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Ni kweli anaweza kupotea mapema

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Alikuwa na matarajio makubwa kwa bahati mbaya amekutana na ushindani wa namba, hana chaguo zaidi ya kupigania nafasi ya kucheza#meridianbettz

    Jibu

    benchi linaboa sana

    Jibu

    Inter mmepata kifaa ambacho kinajua nini maaana ya mpira

    Jibu

    Kuna makosa mengine yaangaliwe kumpa mchezaji azabu ya kukaa bechi kama kumpotezea kipaji chake tu

    Jibu

    Benchi sio poa

    Jibu

    Asantee kwa taarifa

    Jibu

    Anatakiwa apambanie namba

    Jibu

    Eriksen Tottenham itajuta kumuacha na inter imelamba dume

    Jibu

    Kukaa bench sio Poa utasahauruka na mashabik

    Jibu

    Dah inakuwa ngumu kwa upande wake

    Jibu

    Duuu nomaa

    Jibu

    Bench hatariiiii

    Jibu

    Eriksen anaweza potea

    Jibu

    Benchi sio kitu kizur kwa mchezaji yoyote

    Jibu

    Ni kweli anaweza kupotea mapema

    Jibu

    Kweli amechoka kusugua benchi

    Jibu

Acha ujumbe