Ronaldo: “Asante Cuadrado”
Cristiano Ronaldo alikuwa anafikiria ruhusa kutoka kwa Juan Cuadrado kabla ya kuchukua jezi namba 7 pale juventus. Jezi hii ni jezi ninayoipenda zaidi, anasema Ronaldo ambaye alihamia timu hiyo mwezi uliopita …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Cristiano Ronaldo alikuwa anafikiria ruhusa kutoka kwa Juan Cuadrado kabla ya kuchukua jezi namba 7 pale juventus. Jezi hii ni jezi ninayoipenda zaidi, anasema Ronaldo ambaye alihamia timu hiyo mwezi uliopita …
Kulikuwa na tetesi za chini chini kuwa huenda Zinedine Zidane akawa anaongoza katika orodha ambayo makamu mwenyekiti bwana Ed Woodward anaifikiria kumbadili Mourinho. ripoti hizi zinahusisha kufanya vibaya katika mechi …
Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …
Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Juventus ya huko Italia ambapo dau lake ni la dunia nzima! Mwanzo kabisa dau kubwa la fedha …
Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Manchester United kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Manchester United / Pre-season 2018/19 20-7-2018/ CF America vs Man …
Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …
Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Daily Express inadaiwa kwamba meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ana hofu juu ya ushindani wa malipo ya kifedha kwenye usajili …
Ikiwa zimesalia siku chache sana kuanza kwa michuano ya kuwania Kombe la Dunia huko Urusi mwaka huu hiki hapa ni kikosi cha taifa la Ureno: Walinda lango: Anthony Lopes (Lyon), …
Wakala wa Gareth Bale ambaye ni mshambuliaji wa Wales ameongea kuhusiana na suala la uhamisho wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28. Kwa maneno yake wakala anasema kwamba Bale …
Habari zinadai kuwa Real Madrid ya Hispania imekubali ombi la dau la paundi milioni 113 la mchezaji wao winga, Gareth Bale! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa sasa …
Masuala ya kodi imekuwa ni tatizo kubwa sana huko majuu Hispania ikihusisha wasakata kabumbu na makocha! Siku kadhaa nyuma waendesha mashtaka wa nchini huko wametaka mchezaji wa zamani wa klabu …
Kumekuwa na mazungumzo kuhusiana na mkataba mpya kati ya Courtois na klabu yake ya Chelsea ambayo yamesogezwa mbele mpaka majira ya joto msimu huu. Mazungumzo hayo yanatokana na habari kwamba …
Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …
Mchana wa leo kuna mtanange mkali wa kuwania Kombe la International Champions kule dimbani National, Singapore ambao utakuwa ni kati ya Mabingwa wa Uingereza na wale Mabingwa wa Ujerumani! Katika …
Siku kadhaa nyuma ratiba ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya huko Hispania, La Liga 2017/18 ilitoka na gemu za kwanza zitasakatwa wikiendi ya kuanzia Agosti 18. Katika wikiendi hiyo …
Ikiwa kuna tetesi za mpango wa klabu ya soka ya Real Madrid kumuwinda msakata kabumbu kinda Kylian Mbappe habari zinasema kuwa vyombo vya habari vya huko Uhispania vimetoka na ripoti …