madrid - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Ronaldo: “Asante Cuadrado”

Champions League

Cristiano Ronaldo alikuwa anafikiria ruhusa kutoka kwa Juan Cuadrado kabla ya kuchukua jezi namba 7 pale juventus. Jezi hii ni jezi ninayoipenda zaidi, anasema Ronaldo ambaye alihamia timu hiyo mwezi uliopita …

Man U: Zinedine Zidane Anambadili Mourinho?

Football

Kulikuwa na tetesi za chini chini kuwa huenda Zinedine Zidane akawa anaongoza katika orodha ambayo makamu mwenyekiti bwana Ed Woodward anaifikiria kumbadili Mourinho. ripoti hizi zinahusisha kufanya vibaya katika mechi …

Napoli Walishamuwinda Ronaldo

Football

Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …

Juventus Wamnasa Ronaldo!

Football

Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Juventus ya huko Italia ambapo dau lake ni la dunia nzima! Mwanzo kabisa dau kubwa la fedha …

Liverpool Kudumu na Karius

Football

Endapo ulitegemea kwamba golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Loris Karius atakaa benchi au kuondoka kabisa klabuni pale basi sahau kabisa kuhusu hilo. Kwa mujibu wa ripoti kutoka vyanzo …

Kombe la Dunia: Kikosi cha Brazil Hiki Hapa

Football

Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …

Hofu ya Mourinho kwa Gareth Bale

Football

Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Daily Express inadaiwa kwamba meneja wa Manchester United, Jose Mourinho ana hofu juu ya ushindani wa malipo ya kifedha kwenye usajili …

Wakala: Bale Haondoki Msimu Huu!

Football

Wakala wa Gareth Bale ambaye ni mshambuliaji wa Wales ameongea kuhusiana na suala la uhamisho wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28. Kwa maneno yake wakala anasema kwamba Bale …

Bale Ndani ya China!

Football

Habari zinadai kuwa Real Madrid ya Hispania imekubali ombi la dau la paundi milioni 113 la mchezaji wao winga, Gareth Bale! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa sasa …

Xabi Alonso na Sakata la Kodi!

Football

Masuala ya kodi imekuwa ni tatizo kubwa sana huko majuu Hispania ikihusisha wasakata kabumbu na makocha! Siku kadhaa nyuma waendesha mashtaka wa nchini huko wametaka mchezaji wa zamani wa klabu …

Wanne Wanamnyatia Benzema

Football

Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …

Msimu Mpya: Ratiba ya La Liga

Football

Siku kadhaa nyuma ratiba ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya huko Hispania, La Liga 2017/18 ilitoka na gemu za kwanza zitasakatwa wikiendi ya kuanzia Agosti 18. Katika wikiendi hiyo …

1 2 3 178 179 180 181