F1: Vettel Amtetea Michael Masi
Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi ya utata kwenye fainali ya mashindani …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi ya utata kwenye fainali ya mashindani …
Dereva wa magari ya mbio za langalanga kutoka kwenye timu Mercedes inayoshiriki mashindano ya F1 Lewis Hamilton ametoa neno baada ya kuwa kimya kwa muda refu. Hamilton ambaye alikuwa kimya …
Licha ya kukerwa na jinsi msimu wa 2021 wa Formula 1 ulivyomalizika, Lewis Hamilton anatarajiwa kurejea kuchukua kiti chake cha Mercedes kwa kampeni ya 2022. Muingereza huyo ana kandarasi ya …
Bingwa wa dunia wa Formula 1 2021 Max Verstappen amefunguka kwamba alipokea ujumbe wa pongezi kutoka kwa bosi wa timu ya Mercedes Toto Wolff kufuatia mbio za Jumapili wa Abu …
Max Verstappen ameeleza kuwa boss wa Mercedes Toto Wolff alimtumia ujumbe wa kumpongeza kutokana na ushindi aliyoupata kwenye mashindano ya Formula 1 usiku wa jana jijini Abu Dhabi. Awali Mercedes …
Max Verstappen alishinda ubingwa wake wa kwanza wa Dunia wa Formula One mbele ya Lewis Hamilton baada ya lap ya mwisho iliyohitimishwa katika mazingira ya kutatanisha katika mashindano ya Abu …
Max Verstappen amekuwa na kiwango kizuri msimu huu huku jana kwenye mashindano ya kutafuta nafasi ameweza fanya vizuri kwa kujihakikishia nafasi ya kwanza kwenye Abu Dhabi Grand Prix mbio zinazofanyika …
Lewis Hamilton na Max Verstappen wanaenda kumaliza msimu ndani ya jiji la Abu Dhabi kwenye falme za kiarabu kwenye mashindano ya mbio za magari za formula 1 wikiendi hii Awali …
Zikiwa zimesalia siku tano pekee kuelekea mbio kubwa za Abu Dhabi Grand Prix ambapo ndiyo kilele cha msimu wa Formula 1 2021 tayari kumwekuwa na mijadala mbali mbali kuhusu mbio …
Kama ambavyo nchi zinavyowania nafasi ya kuendesha mashindano ya Kombe la Dunia, ni vivyo hivyo kwenye Formula 1 [F1], Spanish GP mambo safi! Uhispania sasa ni uhakika, watakua kwenye kalenda …
Nyota wa mbio za magari Lewis Hamilton alishinda Qatar Grand Prix huko Losail International Circuit siku ya Jumapili akimshinda mpinzani wake wa Red Bull Max Verstappen. Hamilton aliongoza kutoka kuanza …
Chinese Grand Prix imerefusha kandarasi yake na Formula 1 mpaka 2025, mbio hizo za Shanghai, ambazo hazijafanyika tangu 2019, hazitafanyika tena mwaka ujao kwa sababu ya vizuizi vya coronavirus. Lakini …
Hakika, huu ni msimu ambao Formula 1 inashuhudia upinzani mkubwa kati ya Lewis Hamilton vs Max Verstappen. Madereva wawili wanaowania ubingwa 2021. Zikiwa zimesalia mbio 5 tu kumaliza msimu wa …
Lewis Hamilton aliweka rekodi mpya na ushindi wake wa 100 wa Formula 1 katika Grand Prix ya Urusi siku ya Jumapili. Bingwa huyo mtetezi tayari alikuwa na ushindi mwingi katika …
Max Verstappen alitania “ninaweza kulala” baada ya Lewis Hamilton kusema kwamba mpinzani wake wa taji anaweza kuwa na wasiwasi wakati anapigania taji la ubingwa wa ulimwengu. Dereva wa Red Bull …
Lewis Hamilton alisema anashukuru kuwa hai kufuatia ajali yake ya ajabu na Max Verstappen kwenye Grand Prix ya Italia. Hamilton na Verstappen waligongana kwa mara ya pili katika mbio …
Leo katika Formula 1 kulikuwa na mchezo wa kuigiza zaidi katika shindano la ubingwa wa ulimwengu wa 2021, wakati Max Verstappen na Lewis Hamilton walipogongana kwa mara nyingine katika mashindano …
Valtteri Bottas alifanya vyema katika raundi ya mwisho na kuwapa changamoto Lewis Hamilton na Max Verstappen kuongeza kasi katika nafasi ya kufuzu mbio za Italian GP na kuongoza kuelekea …
Ajali ya Jumapili ya British Grand Prix inaendelea kugonga vichwa vya habari vya F1, na Lewis Hamilton akilaumiwa vikali kwa sehemu yake kwenye mgongano ambao ulimpeleka Max Verstappen kuugonga ukuta …
British Grand Prix ya kwanza ilishuhudia Max Verstappen na Lewis Hamilton wakienda sambamba karibu kila kona, mwishowe ikasababisha ajali ambayo Mholanzi huyo aligonga ukuta. Gari la Hamilton liliharibika, lakini aliweza …