Formula 1 Yafuta Russian Grand Prix
Formula 1 imefuta mbio zilizopangwa kufanyika nchini Urusi za Russian Grand Prix leo siku ya ijumaa kutokana na nchi ya Urusi kuivamia Ukraine. Chama kinachosimamia mashindano ya F1, FIA na …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Formula 1 imefuta mbio zilizopangwa kufanyika nchini Urusi za Russian Grand Prix leo siku ya ijumaa kutokana na nchi ya Urusi kuivamia Ukraine. Chama kinachosimamia mashindano ya F1, FIA na …
Mwanalanga langa mashughuli, Lewis Hamilton amefanikiwa kutwaa ubingwa wa mbio za Sao Paulo GP baada ya kumpiku mpinzania wake Max Verstappen. Hamilton aliongoza raundi kumi na mbili akitokea …
Qatar kuandaa mashindano ya Formula 1 Grand Prix kwa mara ya kwanza novemba hii, ikichukua nafasi ya Australian GP baada ya kufutwa mashindano hayo. Mashindano hayo yamepangwa kufanyika kwenye uwanja …
Amekuwa akisumbua kwa kipindi kirefu kutokana na kuvunja historia nyingi sana kupitia mbio za magari. Wapinzani wake wamekuwa wakiogopa hata wanapokutana naye barabarani kwani ana uzoefu uliopitiliza kwenye mbio hizo …
kiongozi wa ubingwa wa Formula One Max Verstappen aliendelea kutawala Styrian Grand Prix siku ya Jumapili kwa kushinda mfululizo mbio za magari kwa mara ya kwanza katika taaluma yake. Kwa …
The Austrian Grand Prix, inaelekea kuwa mbio za kwanza zilizoathiriwa vibaya sana na janga la mlipuko wa ugonjwa wa Corona miongoni mwa mashindano ya ubingwa wa dunia wa Formula One, …
Thiago Silva ametoa idhini yake binafsi kwa wazo la Chelsea kumsajili Paulo Dybala kutoka Roma msimu huu wa joto, akizungumzia uvumi wa uhamisho huo wakati wa F1 British Grand Prix …
Nyota wa Chelsea, Reece James ametoa mawazo yake juu ya Mason Mount kuondoka klabuni hapo huku mustakabali wa mchezaji mwenzake ukiwa bado haujulikani. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako …
Zinedine Zidane ameshirikiana na timu ya Formula 1 Alpine kama balozi wa chapa kwa programu na fursa zao. Tangazo hilo lilitolewa katika uzinduzi wa gari la timu ya Ufaransa …
Pep Guardiola ameweka mustakabali wake Manchester City baada ya kukubali kuongezewa miaka miwili ili kuongeza nguvu kwa mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza. Kocha huyo mwenye umri …
Fernando Alonso alikuwa na bahati ya kuepuka majeraha makubwa baada ya kuhusika katika ajali kubwa iliyoshuhudia gari lake likirushwa hewani kwenye mashindano ya United States Grand Prix siku ya Jumapili. …
Mkuu wa mbio za Red Bull na kandanda Dietich Mateschitz amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Raia huyo wa Austria alijulikana kwa …
Mcheza Tenisi kinda wa Uingereza, Emma Raducanu ameoredheshwa namba 10 duniani kwa ubora licha kupoteza kwa seti 6-4, 6-4 dhidi ya mchezaji namba 1 kwa ubora duniani Iga Swiatek. …
Muendesha magali ya Langalanga Lewis Hamilton anaamini kwa sasa kila muda atakaopta wikiendi ni muda wa kuikomboa timu yake ya Mercedes ambayo imeshindwa mara mbili kwenye mbio za kutafuta nafasi …
Dereva wa Mercedes Lewis Hamilton amejipa nafasi ndogo wa yeye kufanya vizuri kwenye mashindano ya Bahrain Grand Prix lakini amepanga mipango ya kuweza kumshinda Max Verstappen kwenye mbio zinazofuata kwenye …
Bingwa wa dunia wa Formula 1, Max Verstappen amekubali mkataba mpya wa muda mrefu na timu ya Red Bull huku mkataba huo ukitarajiwa kusainiwa mwishoni mwa wiki hii. …
Shirikisho la mpira wa miguu barani Ulaya UEFA limeiondoa timu ya Spartak Moscow kwenye michuano ya Europa League kufuatia uvamizi unaoendelea wa taifa la Urusi nchini Ukraine. Mashirikisho mbalimbali ya …
Ferrari wamerejea kupigania ushindi wa mbio na mataji msimu huu kwani “wameyakumbuka” kwani hawajashinda mbio kwa misimu miwili sasa, huku ushindi wao wa mwisho ukiwa na Sebastian Vettel kwenye Singapore …
FIA yathibitisha kumuondoa Michael Masi kwenye nafasi ya ukurugenzi wa mashindano ya Formula 1 kufuatia uchunguzi uliofanyika wakati akisimamia mashindano ya Abu Dhabi Grand Prix. Kuanzia sasa nafasi ya ukurugenzi …
Baada ya sintofahamu kwenye fainali ya Formula 1 mwaka 2021 ambapo Max Verstappen kuibuka na ushindi kwenye mashindano hayo akimzidi mbabe huyo wa F1 Lewis Hamilton FIA ilianza uchunguzi kufuatia …