Tambo za Inzaghi Kuelekea Lazio V Roma
Bosi wa Lazio Simone Inzaghi ametoa tambo zake kuelekea debi dhidi ya wapinzani wao wa jiji Roma. Meneja huyu ametamba kuwa wao ndiyo wapo kwenye nafasi nzuri ya kushinda mechi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Bosi wa Lazio Simone Inzaghi ametoa tambo zake kuelekea debi dhidi ya wapinzani wao wa jiji Roma. Meneja huyu ametamba kuwa wao ndiyo wapo kwenye nafasi nzuri ya kushinda mechi …
Mchezaji wa Lazio mwenye uraia wa Brazili na Italia, Luiz Filipe anasema kuchezea klabu hiyo ni “Ndoto”. Philipe mwenye umri wa miaka 21 aliingia Lazio mwaka 2016 kisha akaondoka kwenda …
Vyanzo kadHaa vya habari vinasema kuwa Mashetani Wekundu wamepeleka maombi yenye thamani ya euro milioni 96 kwa moja ya klabu kubwa maarufu za huko Italia, Serie A. Ombi lao ni …
Massimiliano Allegri anaweza kuwa kocha wa kwanza kushinda Coppa Italia mara tano, akiwapita Roberto Mancini na Sven Goran Eriksson. Juventus itazuru Lazio kwenye Uwanja wa Stadio Olimpico kesho katika mechi …
Kocha wa klabu ya Interzionale Milan Simeone Inzaghi bado yupo sana ndani ya klabu hiyo vinara wa ligi kuu ya Italia kutokana na kauli aliyoitoa leo mbele ya waandishi wa …
Gianluca Scamacca amekuwa mchezaji wa kwanza wa Italia kufunga bao la ugenini dhidi ya Liverpool lakini Pierluigi Casiraghi alikuwa tayari ameshafunga mara mbili uwanjani Anfield kwa Azzurri kwenye Euro 96. …
La Gazzetta dello Sport limeripoti kuwa Juventus wako tayari kuwauza Samuel Iling-Junior na Filip Kostic msimu wa joto na wanaweza kuchukua nafasi zao Mason Greenwood, Edon Zhegrova, Felipe Anderson au …
Wojciech Szczesny alionekana kupinga maoni ya Max Allegri baada ya kushindwa na Lazio, akionya ‘ushindi mmoja katika mechi tisa haustahili Juventus’ na wachezaji ‘lazima wajifunze kukabiliana na shinikizo.’ Bianconeri walichapwa …
Ripoti za Italia zinadai kuwa Nottingham Forest ilimpa Maurizio Sarri mkataba wa miaka mitatu baada ya kujiuzulu kutoka Lazio, lakini akawakataa. Kocha huyo alijiuzulu mnamo Machi 13 kufuatia kushindwa mara …
Juventus inaripotiwa kuwa na nia ya kutaka kumsajili mchezaji aliyetengwa na Manchester United ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo Getafe Mason Greenwood, kulingana na taarifa kutoka La Gazzetta dello Sport. …
Mwandishi wa habari za uvumi Fabrizio Corona atashtakiwa na mlinzi wa Lazio Nicolò Casale, wachezaji wenzake wa Roma Stephan El Shaarawy na Nicola Zalewski kwa kuwashutumu kwa kucheza kamari kinyume …
Nahodha wa Lazio Ciro Immobile anaripotiwa kujiandaa kuchukua hatua za kisheria baada ya yeye na familia yake kulengwa ‘kwa maneno’ nje ya shule ya mwanawe kulingana na ripoti nchini Italia. …
Kocha wa klabu ya Inter Milan Simeone Inzaghi raia wa kimataifa wa Italia ameweka wazi kua ana furaha ya kuendelea kusalia kwa wababe hao wa soka kutoka nchini Italia. Kumekua …
Nahodha wa Inter Lautaro Martinez amefunga mabao 22 katika mechi 23 za ligi msimu huu na ana matumaini ya kweli ya kufikia rekodi ya Serie A iliyowekwa na Ciro Immobile …
Ripoti ya La Gazzetta dello Sport. Atalanta wameamua kumsajili Charles De Ketelaere kwa kudumu kutoka Milan. Nyota huyo wa Ubelgiji alicheza msimu wake wa kwanza na wa pekee kwenye Uwanja …
Napoli wameamua kutomruhusu Leo Ostigard kuondoka katika siku za mwisho za dirisha la usajili la Januari, na kuwalazimu Torino na Udinese kutafuta kwingine. Beki huyo wa Norway mwenye umri …
Wakala wa Ciro Immobile Marco Sommella amesisitiza kuwa nahodha huyo wa Lazio alipendelea kusalia Roma badala ya kusaini mkataba wa pesa nyingi nchini Saudi Arabia msimu wa joto, hasa kutokana …
Ni raundi 12 pekee za msimu huu, lakini Opta Predictor tayari anadai Inter wana nafasi ya 83 ya kushinda Scudetto. Inter walikwenda mapumziko kwa ajili ya kucheza mechi ya …
Nahodha wa Roma, Lorenzo Pellegrini amerejea mazoezini na wachezaji wengine wa kundi la kwanza siku ya jana, siku mbili tu kabla ya mchezo wa Derby della Capitale uliotarajiwa dhidi ya …
Andrea Belotti anakiri Roma ilikosa mtazamo sahihi na halikuwa suala la kimwili katika kipigo cha Ligi ya Europa dhidi ya Slavia Prague. Hili lilikuwa ni pambano la kwanza kwa …