Tetesi za Usajili
Tottenham na Manchester United wanachuana za kuwania saini ya beki wa kulia wa Paris St-Germain na Ubeligiji, Thomas Meunier, 28. Manchester United wanafikiria mbadala wa David de Gea, japo golikipa huyo …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tottenham na Manchester United wanachuana za kuwania saini ya beki wa kulia wa Paris St-Germain na Ubeligiji, Thomas Meunier, 28. Manchester United wanafikiria mbadala wa David de Gea, japo golikipa huyo …
Mfungaji anayeongoza kwa wakati wote wa Ujerumani, Miroslav Klose ameteuliwa kuwa Kocha msaidizi wa Mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich kwa msimu ujao. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 amekuwa …
Newcastle wapo tayari kutumia £70m kumnasa kiungo wa Barcelona Philippe Coutinho kama klabu itakubali kumruhusu nyota huyo auzwe, Mbrazili huyo kwasasa yupo kwa Mkopo Bayern Munich. Matajiri wa Newcastle pia …
Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo amerejea Turin, Italia Jumatatu akitokea Madeira, Ureno tayari kwa ajili ya maandalizi ya muendelezo wa Ligi ya Serie A. Ronaldo alifika kwa ndege binafsi na …
Imeripotiwa kuwa mamlaka zimeruhusu vilabu vya ligi kuu ya Italia vianze mazoezi kuanzia Jumatatu ya Mei 4 ili kuendeleza msimu wa 2019-20 uliosimamishwa Februari 22 kutokana na janga la COVID-19. …
Raisi wa Juventus, Andrea Agnelli anadaiwa kuwa ndiye alisisitiza kubaki kwa golikipa Gianluigi Buffon ‘Gigi” pale Allianz Stadium. “Tunataka uendelee kuwa mmoja wetu” -Andrea Agnelli Golikipa huyu mwenye miaka 42 …
Imani na dini ni kitu ambacho kipo nafsini mwa mtu mwenyewe, na hakuna mtu anayeweza kumlazimisha mwingine afanye kitu kingine bila hiari yake. Katika soka pia haya mambo yapo; mchezaji …
Miaka ya nyuma kidogo katika mchezo wa kabumbu au soka ligi ya huko Italia mambo yalikuwa murua kweli kweli. Yalikuwa matamu si mchezo, kuanzia enzi za Maradona, Baggio, Batistuta hadi …
Nyota wa zamani wa klabu ya Bayern Munich aliyejenga mafanikio ya aina yake na kikosi hicho hadi leo, Frank Ribery baada ya mkataba wake kuisha ndani ya klabu hiyo aliachana …
Taarifa zinabamba kuwa aliyekuwa Gennaro Gattuso anatarajiwa kurejea klabuni AC Milan kama klabu hiyo itaamua kumtimua Marco Giampaolo. Gattuso amekuwa akipewa kipaumbele kama mtu mwenye nafasi kubwa kuchukua kibarua cha …
Inaonekana sasa tatizo limepata msuluhishaji ndani ya kikosi cha Inter Milan baada ya kuwa na misimu kadhaa isiyokuwa na mvuto kabisa ndani kikosi hicho chenye historia kubwa sana ndani ya …
KWENYE michuano ya ligi ndogo ya mabingwa [UEFA Europa] kila timu ilikuwa ikiwinda bafasi ya pekee sana ili kuweza kupata alama ambazo zitaisaidia kuweza kukua na kufanya vizuri kwenye michezo …
Baada ya kupangwa kwa makundi ya klabu bingwa huko Monaco kulikaliwa pia mwendelezo wa kupanga makundi mengine ya Europa ambapo kila klabu ilijua nani wa kukutana naye kwenye kinyang’anyiro hicho …
Inter Milan wanaonekana kuwa vizuri upande wa sokoni msimu huu wakiwa na nia kubwa sana ya kusajili wakongwe ambao wanajua ramani nzima ya soka. Klabu hiyo kwa sasa inamuwinda raia …
Hapa tunakuletea dondoo kadhaa za usajili jumapili hii tarehe 26 Mei 2019. Meneja wa Chelsea, Maurizio Sarri amekubali kuwa meneja anayefuata wa Juventus. Kwa mujibu wa chanzo cha Italia, meneja …
KUMEKUWA na stori za Paul Pogba juu maisha yake katika kikosi cha Ole Gunnar kutokana na taarifa zinazofukuta kikosini hapo kuhusu mahitaji ya nyota huyo na aina za klabu zinazotumia …
Katika hali halisi ni vigumu sana mtu kushika nafasi ya mtu mwingine na kufanya kiuhalisia kama yule mtu alivyokuwa anafanya kitu hicho. Katika soka pia ipo hivyo si rahisi kupata …
Imani ni kitu ambacho kipo nafsini mwa mtu mwenyewe, na hakuna mtu anayeweza kumlazimisha mwingine afanye kitu kingine bila hiari yake. Katika soka pia haya mambo yapo; mchezaji anayeamini katika …
Mchezaji mshambulizi wa klabu ya soka ya Genoa, Krzysztof Piatek anajua kwamba klabu pinzani ya Barcelona inahitaji kumsajili ila kumezuka fununu kwamba klabu ya Manchester City, Tottenham Hotspur na Liverpool …
Aliyewahi kuwa nyota wa Everton, Louis Saha alikuwa ni mmaliziaji hatari sana! Mpira ukifika kwake hachelewi kucheka na nyavu! Everton bila shaka walijivunia Nyota huyu. Legendari huyu wa soka kwa …