Lazio Kukamilisha Usajili wa Marcos Antonio
Klabu ya Lazio ipo karibu kukamilisha usajili wao wa kwanza kwa kinda wa kibrazil Marcos Antonio kutoka Shakhtar Donetsk hii ni kwa mujibu wa mwandishi wa habari wa Italia Gianluca …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Lazio ipo karibu kukamilisha usajili wao wa kwanza kwa kinda wa kibrazil Marcos Antonio kutoka Shakhtar Donetsk hii ni kwa mujibu wa mwandishi wa habari wa Italia Gianluca …
Mchezaji wa Lazio Ciro Immobile amefanikiwa kumpita Silvio Piola kama mfungaji wa muda wote wa Lazio katika ligi ya Serie A akifikisha mabao 144 ya ligi akiwa na klabu hiyo. …
Kiungo wa klabu ya Lazio, Sergej Milinkovic-Savic amekanusha taarifa mbalimbali zinazomuhusisha na kuondoka ndani ya klabu hiyo katika majira ya baridi. Taarifa zilizotoka hivi karibuni zilimuhusisha kiungo huyo …
Wiki ya 18 katika ligi ya Serie A inawakutanisha Lazio dhidi ya Genoa ambapo Lazio watakuwa wakilenga kurejea kwenye njia yao ya ushindi baada ya kusuasua wiki za hivi karibuni …
Klabu ya AC Milan wanafikiria kupeleka malalamiko FIGC kuhusu tuhuma za kibaguzi zilizofanywa kwa kiungo Tiemoue Bakayoko kutoka kwa mashabiki wa Lazio. Ripoti kutoka Calciomercato.com, Baada ya dakika 15 …
Mara ya mwisho mchezaji kufanya uhamisho kati ya Roma na Lazio ilikuwa mwaka 1981. Mchezaji anayezungumziwa alikuwa Carlo Perrone ambaye alifanya uhamisho wa namna hiyo kutoka Biancocelesti kwenda Giallorossi. Zaidi …
Imethibitishwa kwamba winga wa West Ham Felipe Anderson ameachana na klabu hiyo na kurejea Lazio. Mchezaji huyo alijiunga na timu ya Premier League akitokea Lazio mwaka 2018 kwa dili iliyokuwa …
Winga wa Brazil Felipe Anderson amewasili nchini Italia kwa vipimo kwa klabu ya Lazio kabla ya mpango wa kutia saini kukamilika, na kisha atajiunga na timu huko Auronzo di Cadore. …
Klabu ya Lazio inayoshiriki ligi ya Italia Serie A imemtangaza Maurizio Sarri kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kuanzia msimu ujao wa 2021/2022. Maurizio Sarri anachukua nafasi ya aliyekuwa kocha …
Vyanzo vya habari za michezo nchini Italia vinataja kuwa klabu za Napoli na Lazio zinaweza kubadilishana makocha msimu huu wa joto, baada ya Aquile kutajwa kuulizia juu ya upatikanaji wa …
Pointi mbili tu zinawatofautisha Napoli na Lazio kwenye Serie A, na Lazio bado wana mechi moja mkononi lakini hii ni mechi muhimu kwa timu zote mbili kuendelea kuwepo kwenye mbio …
Mtoto wa mchezaji na nahodha wa zamani timu ya taifa ya Italia Fabio Cannavaro amesajiliwa na klabu ya Lazio. Andrea Cannavaro mwenye umri wa miaka 16 amejiunga na na Biancoceletsti …
Fowadi wa Lazio Ciro Immobile anadai wakosoaji hawamuathiri, na anaapa kuendelea kusonga mbele na anatarajia kuwa watapindua meza wanapokutana na klabu yake ya zamani, Borussia Dortmund. Lazio wanajiandaa kukabiliana na …
Klabu ya Lazio imemuongeza mkataba wa miaka mitano kiungo mshambuliaji Luis Alberto. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 28 alijiunga na Lazio akitokea klabu ya Liverpool baada ya kupambana kupata …
Ciro Immobile amesaini mkataba mpya na Lazio wa miaka mitano. Mkurugenzi wa mawasiliano wa klabu ya Lazio, bwana Stefano Dw Martino ametangaza kuwa Ciro Immobile amesaini mkataba mpya kuwepo klabuni …
Golikipa wa AC Milan Pepe Reina ameripotiwa tayari ameshafika Lazio kwa ajili ya vipimo vya afya. Klabu ya Lazio walichapisha picha kwenye akaunti yao ya Twitter kuonesha nyota huyu Mhispania …
David Silva anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Lazio Jumatatu, akiwasili kama mchezaji huru kutoka Manchester City. Kiungo huyu mwenye umri wa miaka 34 pia alikuwa na …
Lazio wanakaribia kukamilisha usajili wa mkongwe wa Manchester City, David Silva mara tu mkataba wake na klabu hiyo yq nchini England utakapomalizika, kwa mujibu wa ripoti huko Italia – Mchezaji …
Nyota wa Southampton anayekipiga kwa mkopo klabu ya Ubelgiji ya Antwerp, Wesley Hoedt anajutia uhamisho wako kutoka Lazio kwenda Southamopton na kusema kuwa suala hilo lilifanyika kimakosa. Hoedt alitumia misimu …
Kuelekea debi kali kabisa Italia kati ya Lazio na mahasimu wao Roma, mashabiki wa Lazio wametangaza mgomo kushinikiza klabu kuchukulia uzito suala la kuuwawa kwa shabiki wao. Taarifa zilizobamba katika …