Pioli Apewa Miaka Miwili Kuiboresha MIlan.
Kocha Stefano Pioli wa AC Milan amerefusha muda wa kuhudumu kwake kambini uwanjani San Siro kwa kipindi cha miaka miwili zaidi hadi mwishoni mwa Juni 2022. Stefano Pioli mwenye umri …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha Stefano Pioli wa AC Milan amerefusha muda wa kuhudumu kwake kambini uwanjani San Siro kwa kipindi cha miaka miwili zaidi hadi mwishoni mwa Juni 2022. Stefano Pioli mwenye umri …
Cristiano Ronaldo ameongeza historia nyingine na kuendelea kuipamba stori ya maisha yake ya soka kwa kuwa mchezaji mwenye kasi zaidi kwa kufikisha goli 50 ndani ya ligi ya Serie A …
Tetesi zinasema Manchester City wametakiwa kuweka mezani kitita cha pauni milioni 65 kwa ajili ya beki wa Napoli Kalidou Koulibaly ,29, ambaye anauhishwa na taarifa za kuhamia Liverpool na Manchester …
Giorgio Chiellini mlinzi wa timu ya Juventus yupo nje ya dimba kutokana na kutokuwa fit akisumbuliwa na majeraha ya goti imekuwa ni majuto makubwa kwa kocha wa Juventus Maurizio Sarri …
Cristiano Ronaldo amefunga penati mbili wakati Juventus akilazimisha suluhu dhidi ya Atalanta na kuendelea kuongoza kw atofauti ya Alama nane baada ya Lazio kupoteza katika mechi yake. Wageni Atalanta walimiliki …
Juventus vs Atalanta Juventus watakuwa wamejizatiti kujipindua kutoka kwenye kichapo ‘hevi’ wakichokipokea dhidi ya Milan. Watahitaji kuendelea kuongoza kwa kuongeza tofauti ya pointi kwenye 7 walizonazo kileleni kwenye Serie A. …
AC Milan leo siku ya Jumanne wataumana na Juventus, ambao watakuwa wakitafuta ushindi wa tano mfululizo tangu kurejea kwa Serie A. Juve wataelekea San Siro wakiwa wanaongoza ligi kwa tofauti …
Msimu wa soka unaendelea “daluga” zikishika moto taratibu Italia kukiwa na Derby della Mole. Mpambano wa kufurahisha zaidi ni kati ya mabingwa Juventus dhidi ya Lazio wanaofanya mbio za kuwania …
Wapinzani wakali wa jiji la Turin wanakutana uso kwa uso. Maarufu zaidi kama Derby della Mole. Katika debi hii kila timu inapewa uzito wa kutosha kulingana na nafasi zao. Kimsingi …
Wakiwa katika ubora Inter wametoa kipigo kizito kwa timu ya Brescia siku ya Jumatano wakiwa katika uwanja wa nyumbani wa San Siro. Mchezaji mwenye magoli mengi katika klabu ya Inter …
Euro 100 mil kwa Sergej Milinković-Savić. Klabu ya Lazio ya nchini Italia itakataa kusikiliza ofa yoyote chini ya euro million 100 kwa mchezaji wao staa Sergej Milinkovic-Savic. Tayari katika kudhihirisha …
Roma, Italy-Mshambuliaji wa juventus Cristiano Ronaldo ameifungia timu yake ya Juventus goli bora katika umbali mrefu na kuitanguliza timu yake kwa jumla ya mabao 2 dakika ya 56, goli hilo …
Maurizio Sarri anaamini Cristiano Ronaldo na Paulo Dybala wanaweza wakaanza wote kwenye mchezo dhidi ya Genoa lakini kocha huyo ana nia ya kuondoa tatizo kwa michezo ya mbele. Juventus wataendelea …
Paris Saint-Germain wameanza harakati za kumnasa mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Erling Haaland kuelekea dirsha kubwa la Uhamisho kulingana na Foot Mercato. Klabu hiyo ya Ufaransa inamtaka mshambuliaji huyo wa kimataifa …
Kwa Cristiano Ronaldo, hakuna kitu kilionekana kwenda sawa kwenye mechi ya nusu fainali ya Coppa Italia dhidi ya AC Milan Jumamosi ya wiki iliyopita. Akikosa penati, mfululizo wa nafasi nyingi …
Cristiano Ronaldo tangu atue katika timu amekuwa na msaada mkubwa , hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake Giorgio Chiellini. Ronaldo tayari amekwisha funga mabao 53 katiaka mechi 76 alizocheza …
Sven-Goran Eriksson anaamini kikosi cha kwanza cha timu ya Uingereza cha enzi zake kilikuwa na ubora kuliko kizazi cha sasa, lakini anahisi kikosi cha Gareth Southgate kina mvuto zaidi. Eriksson …
Vilabu vya Serie A vitacheza mechi mbili kwa wiki kwa mechi zilizosalia pale Ligi itakaporejea Juni 20. Kutakuwa na mechi karibu kila siku Ligi itakaporejea mpaka siku ya mwisho Agosti …
Paris Saint-Germain wametoa ofa yao ya kwanza ya € 60m kwa Lazio kumnasa kiungo wao wa kati Sergej Milinkovic-Savic, –kwa mujibu wa ripoti nchini Ufaransa. Kuvutiwa kwao na mchezaji huyu …
Manchester City wapo tayari kumpa mkataba mpya straika wa Brazili, Gabriel Jesus wenye thamani ya £120,000-kwa wiki ili kumvutia asalie klabuni baada ya Juventus kuonyesha nia ya kumhitaji huduma yake. …