Ramos Atemwa Kwenye Kikosi cha Spain Kitakacho Cheza Euro 2020
Nahodha wa Real Madrid Sergio Ramos ameachwa kwenye kikosi cha mwisho cha Uhispania kwaajili ya Euro 2020, lakini Aymeric Laporte wa Manchester City amejumuishwa baada ya kubadili urai wa Ufaransa. …