Kocha mkuu wa Atletico Madrid Diego Simeone amepima na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona, klabu hiyo ya LaLiga imethibitisha.
Kikosi kizima cha Atletico Madrid na benchi la ufundi walifanya upimaji wa COVID-19 siku ya Ijumaa baada ya kurejea kutoka Los Angeles Marekani walipokuwa wakijiandaa na msimu mpya wa LaLiga.
Simeone sasa atalazimika kujitenga ingawa hakuonesha dalili zozte kama ana maambukizi.
“Baada ya kuchunguza sampuli hizi ndani ya maabara iligundulika kuwa mwalimu wetu Diego Pablo Simeone, amepata maambukizi ya COVID-19,” Atletico walisema kwenye maelezo.
“Bahati nzuri kocha wetu hakuonesha dalili na kwa sasa yupo nyumbani akiendelea kujitizamia na kufuata utaratibu uliowekwa na mamlaka za afya ili kuepuka usambazaji wa virusi.
Atletico wanatarajia kusafiri mpaka Cadiz kwa mchezo wa kirafiki siku ya Jumanne kabla hawajaanza mbio za LaLiga Septemba 27 kwa mchezo dhidi ya Granada.
Atletico Madrid walitupwa nje ya michuano ya Champions League na timu ya RB Leipzig msimu uliyopita katika hatua ya robo fainali.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Amiri Kayera
Ni habar mbay Kwa A.Madrid maan ligi inakalibia
Rehema
Asante kwa makala
Hopemwaikuka
I feel sorry for him
Furahav
Pole sana.
Adelta
Diego someone pole Sana hii Ni habari mbaya kwa A.Madrid @meridianbettz
Saupha mohamed
Daa habari mbays
Mwanahamisi
Pole sana
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Corona sio poa Mungu atakufanyia wepesi upone Diego
Mwajumah
Pole sana#Meridianbettz
Elika
Dah pole sana
Dorophina
Habari mbaya sasa itakuwaje madrid maana hii habari haipokeleki corona ishakuwa tishio
Caroline
Corona Noma
Tatu
Pole sana
felister
duh
Shafii
Ni habari mbaya kwa wana altetical Madrid.
Ernest
Balaa hili kwa Atletico Madrid
Hidaya
Get well soon mwamba
Antony Luseno
Mungu ampe wepesi apone
lombo
duuh hatar
aisha
Pole sana diego simeone kwa kuumwa na ugojwa wa covid 19
Issa
Korona ni tishio michezoni
Sabrina
Duh pole bhana
Sauda
Pole yake
Khadija
duh!!!pole sana#meridianbettz
Nasra
Pole yake aisee
Povel
Janga la dunia
Theckla
Corona noma
Neema
Pole yakeee
sylvester
Mungu ampe afueni apone haraka arudi kazini kuwanoa Atletico Madrid
Samira
Daaah sad news
Latifa juma mohamed
Daah among the bad news,covid 19 huu ugonjwa sio poa kabisa.
Tumaini kasalile
Pole sana
Johnmary joel
Jamani pole yake#meridianbett
warda
Hii Corona sasa tunaishi nayo#Meridianbettz
Flomena
Hii. Corona bado Ni tishio
Ester jackson
Pole jamani
Zeiyana
Korona himekua hatari sana
Fatina mfigi
Corana imekuwa tishio
Janeflora malisa
Pol
rama
daaa corona inasumbua sana dunia
Fatuma kasomo
Dah habari mbaya
Salma ngende
Pole yake
farida ahmadi
Pole Sana
Rehema
Pole yake
Theonestina
Pole yake
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana
Genia Sikaluzwe
Duuuuh hatari
magdalena
huu ugonjwa ni balaa sana atakuwa sawa hivi karibuni
Samiah
Noma sanaa Corona
David Pere
Habari mbaya sasa itakuwaje madrid maana hii habari haipokeleki corona ishakuwa tishio