Hernandez Hana Mpango wa Kuondoka Bayern.

Lucas Hernandez hafikirii kuondoka katika klabu ya Bayern Munich wakati huu wa dirisha la usajili lakini amesema ajifikiria tena kama hali itaendelea kuwa hivi msimu huu.

Mchezaji huyo wa Ufaransa na mshindi wa kombe la Dunia alijiunga na Bayern Munich akitokea Atletico Madrid kwa kitita cha €80m msimu 2019-20.

Lakini, Hernandez amekuwa akisumbuliwa na majeraha ya kifundo cha mguu aliyopata mwezi Oktoba mwaka jana na amekuwa akipambana kupata muda zaidi wa kucheza huku nafasi anayocheza kukiwa na David Alaba na Alphonso Davies .

Kiujumla mlinzi huyo wa Munich amecheza michezo 12 pekee katika mashindano yote msimu uliyopita na klabu Paris Sanit-Germain wamekuwa wakihusishwa na kuinasa saini ya beki huyo wakati huu wa dirisha la usajili.

Hernandez Hana Mpango wa Kuondoka Bayern.
Lucas Hernandez

Ingawa kwa sasa Hernandez amepanga kuendelea kusalia katika klabu ya Bayern Munich ambao walifanikiwa kutwaa, Bundesliga,DFB-Pokal na Champions League wakiwa chini ya kocha Flick.

“Kuondoka Bayern? Hapana, bado nina miaka minne kwenye mkataba wangu niliyo saini,” aliiambia Telefoot.

“Lakini itategemea na msimu huu kama sintofahamu ya kupata nafasi ya kucheza itaendelea tutanagalia nini kitafuata.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

44 Komentara

    Ni safi kuendeleza kukipiga bayern

    Jibu

    Tatizo pekee litakalokuwepo ndani ya Bayern ni kupata namba

    Jibu

    Inapendeza aendelee kukipiga Bayern

    Jibu

    Vzur kama ni sehemu sahihi kwako

    Jibu

    Anaitaji kulipa maan kasajiliwa Kwa gharam af ajaonyesh cheche zake

    Jibu

    Ni safi kuendelea kukipiga bayern#meridianbettz

    Jibu

    Abaki na msimamo huo huo

    Jibu

    Abaki na msimamo huohuo

    Jibu

    Shida nafas ya kucheza ndani ya bavarian wa ujerumani ndo maana mwandishi anawas was Kama hataendelea kukaaaa benchi

    Jibu

    Uamuzi ni wake inabidi aangalie sehemu sahihi!!

    Jibu

    Ni jambo la maana kwasababu mpira unataka kazi

    Jibu

    Maamuzi mazuri

    Jibu

    Si abaki tu

    Jibu

    Ataendelea kujifunza mengi pale ingawa hapati nafasi ya kucheza mara kwa mara

    Jibu

    Abaki tu ingawa kupata namba itakua tabu kidogo

    Jibu

    Ni mchezaji huyu wa Ufaransa na mshindi wa kombe la Dunia alijiunga na Bayern Munich akitokea Atletico Madrid kwa kitita cha €80m msimu 2019-20, ni maamuz mazur kuendelea kusalia.

    Jibu

    Safi wacha ambanie namba

    Jibu

    Bora ajikalie hapo hapo kwenye vile anapapenda#Meridianbettz

    Jibu

    Bora kama umeamua ivyo ijapokua hutopata nafasi ya kucheza kila mara

    Jibu

    Maamuzi yake Ni sahihi@meridianbettz@meridianbettz

    Jibu

    Uwamuzi ni wake tu sisi mashabiki tunasubiri tu burudani

    Jibu

    Uwamuzi wake uko sahihi

    Jibu

    Shida namba buyernmunich

    Jibu

    Me naona bayren hawana mpango nae Hernandez haangalie tu upande mwengine haendeleze kipaji chake kwani mchezaji mwenyew histor kubwa hata kama hatastaafu leo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Hernandez uwamuzi anao yeye kufanya anacho jisikia kwenye moyo wake

    Jibu

    Msimamo muhim

    Jibu

    bado anaitaji kutwa makombe akiwa na hapo vizuri

    Jibu

    Maamuzi niyake

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Hapo ndio panafaa kukuza kipaji chake

    Jibu

    Maamuzi mazuri

    Jibu

    Good

    Jibu

    safi kuendeleza kukipiga bayern

    Jibu

    Maamuzi yake si vibaya

    Jibu

    maaamuz ake mazur

    Jibu

    Maamzi mazuri

    Jibu

    Itakuwa poa akiendelea kuitumikia bayern

    Jibu

    hernandez aendelee kuonesha juhudi na jitihada za kutosha atapata tu namba

    Jibu

    Abak na msimamo Huo huo

    Jibu

    Yupo sahihiii

    Jibu

    Tatizo pekee litakalokuwepo ndani ya Bayern ni kupata namba

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.