Kisubi Aipigia Magoti Simba

Golikipa wa Simba aliyesajiriwa na klabu ya Polisi Tanzania Jeremiah Kisubi ameiomba klabu hiyo iweze kumwachia ili apate nafasi ya kucheza kwenye timu yake hiyo mpya.

Kisubi amejiunga na Polisi kwenye dirisha hili kubwa la usajili akitokea Mtibwa Sugar ambapo alikuwa akiichezea kwa mkopo kwenye msimu ulioisha na kurejea kwenye klabu yake ya Simba.

Akizungumzia hilo, Kisubi amesema kuwa “Nimejiunga na Polisi Tanzania ni furaha kwangu kwani nitapambana ili nipate nafasi ya kucheza.

“Bado nina mkataba na Simba ni mkataba mrefu sio wa mwaka mmoja tu ila nimewaomba viongozi waniachie ili nipate nafasi ya kucheza hivyo kama kila kitu kitakuwa sawa basi wao wenyewe wataongea.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.