MAUYA KUWAKOSA BELOUZDAD

Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya CR Belouizdad wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni Zawadi Mauya pekee ndio hayupo katika mpango wa mchezo huo wa kesho.

Nyota huyo aliumia kwenye mchezo wa michuano ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Polisi Tanzania.

Hivyo, Madaktari wamethibitisha yeye pekee ndiye hadi Sasa ameshindwa kurejea kwenye afya yake kiasi cha kuweza kutumika kwenye mchezo huo Muhimu.

“Mpaka sasa, ni Zawadi Mauya pekee ambaye atakosekana kwenye mchezo wetu. Alipata majeraha kwenye mchezo wetu wa FA dhidi ya Polisi Tanzania na Sasa anajiuguza,” alisema.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.