Wan Bissaka Kutimkia West Ham

Makala iliyopita
INONGA RASMI KUKIPIGA MOROCCO MSIMU UJAOMakala ijayo
Rabiot Anapatikana Bure Kabisa
Klabu ya West Ham wanapaswa kutoa kiasi ambacho kitawashawishi Man United kumuachia beki huyo mwenye asili ya Congo, Wagonga nyundo wa London wanaelezwa wameandaa kiasi cha paundi milioni 15 kwajili ya kupata huduma ya beki Wan Bissaka kuelekea msimu ujao.