ALEX MORGAN yuko tayari kuondoka Tottenham kurejea Marekani katika Mwaka Mpya.
Nyota huyu mwanamke wa USA alihamia timu ya wanawake ya Spurs kutoka Orlando Pride mnamo Septemba na alifunga mara mbili katika mechi tano za WSL
Morgan, 31, mshindi wa Kombe la Dunia mara mbili, alijiunga na klabu ya Spurs kwa mkataba wa mda mfupi kufuatia katika dirisha la uhamisho wa kiangazi.
Mshambuliaji huyo wa Marekani alikuwa amefunga mara 107 katika mechi 170 kwa taifa lake kabla ya kuwasili kwake Spurs.
Na amecheza kwa mara ya mwisho akiwa kwenye jezi ya Spurs akipata fursa ya kupiga penati katika ushindi wao wa 3-1 dhidi ya Aston Villa ambao wanashikilianafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi.
Morgan aliiambia tovuti ya kilabu kuwa wakati wote ataishukuru klabu kwa ushirikiano na huduma nzuri kwake pamoja na familia yake.
“Asante kwa kila mmoja aliyesaidia kuufanya ukurasa huu katika safari yangu ya soka kuwa wa kipekee.” -Alex Morgan
Tottenham wamemtakia heri nyota huyu na kusema kuwa ilikuwa poa sana kwao kuwa naye na kushirikiana naye pamoja. Wanaamini atafanikiwa zaidi katika mipango yake ya baadaye.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???
Issa
Morgan bak spurs
samiah
Duuh
Saupha mohamed
Dhuuu
Latifa juma mohamed
Daaah why?
Shakila mrope
Duu ila ni maamuzi yake kuondoka ama kubaki
Flomena
Good news
Sarah
Duu ngoja tuone
Ernest
Farewell Champ
Caroline
Asante kwa taarifa
Dorophina
Morgan angebaki tu spurs
Hopemwaikuka
All ze best Alex
Issa
Aende tu
Adelta
Aondoke tu
aisha
Kazi ipo
Saupha mohamed
Kambo popote
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri maisha popote panapo tatutia Liziki kwaiyo ataakiondoka nimamuzi yake yeye
David Pere
Morgan, 31, mshindi wa Kombe la Dunia mara mbili, alijiunga na klabu ya Spurs kwa mkataba wa mda mfupi kufuatia katika dirisha la uhamisho wa kiangazi.
Fatina mfingi
Maamuzi Ni yako fanya unacho jisikia
farida ahmad
Jambo popote
Tatu
Ngoja tuone
warda
Asepe tu