Ashley Young Aongeza Mkataba Everton
Makala iliyopita
Joselu Atimkia SaudiaMakala ijayo
Manchester United Yamuwinda Manuel Ugarte
Beki huyo mkongwe ameongezewa mkataba ndani ya klabu hiyo kutokana na ubora ambao amekua nao tangu ajiunge na klabu ya Everton mwaka 2022, Hivo uongozi wa klabu hiyo umekubali kumuongezea mkataba mkongwe huyo aendelee kusalia ndani ya klabu hiyo.