Ligi Kuu Uingereza inarejea baada ya takribani siku 100! Watu wame “miss” kuona maajabu ya uwanjani. Kuona radha halisi na uhondo soka. Hapa nakumegea kipande kidogo cha taarifa ya mechi ya Aston Villa vs Sheffield United.
Vila wanaenda kwenye gemu hii wakiwa na matumaini ya kujikongoja kupiga hatua mbali na hatari ya kushuka daraja. Wakati huo Shieffield wao wanapambana kuiwinda nafasi katika Ligi ya Mabingwa.
Klabu hizi mbili zimekuwa na bahati tofauti msimu huu, hii inafanya iwe rahisi kusahau kama jamaa hawa walikuwa pamoja kwenye michuano ya Championship msimu uliopita tu.
Aston Villa wapo nafasi ya 19 kwenye msimamo wa Ligi, wakiwa kwenye hatari ya kupoteza nafasi yao ya Kuwepo EPL msimu ujao. Shieffield United wao wamekuwa na nyota njema baada ya kujitahidi kufanya vyema wakiwa nafasi ya 7 kwenye msimamo wa Ligi kwa sasa.
Klabu zote zinakumbana na hali mpya, ya kucheza bila mashabiki. Aston Villa wanatajwa kuwa wanaweza kunufaika kiasi na uenyeji. Villa watakuwa wanasaka kujikongoja hadi nafasi ya 16, ikiwa watashinda mechi hii.
Aston Villa vs Sheffield United
Aston Villa Mechi 6 za Premier League Zilizopita : DWLLLL
Aston Villa Mechi 6 za Michuano Yote Zilizopita : WLLLLL
Sheffield United Mechi 6 za Premier League Zilizopita : DLWWDW
Sheffield United Mechi 6 za Michuano Yote Zilizopita : WWWDWW
W – Alizoshinda L – Alizopoteza D – Alizotoa Sare
Vikosi Vinavyotarajiwa
Aston Villa: Reina; Guilbert, Engels, Mings, Targett; McGinn, Hourihane, Douglas Luiz; Al Ghazi, Samatta, Grealish
Sheffield United: Henderson; Basham, Egan, O’Connell; Baldock, Lundstram, Norwood, Fleck, Stevens; Mousset, McBurnie
Ingia Hapa kubashiri mechi hii BET
Bashiri matokeo kuwa Aston Villa 0-2 unapata Odds ya 10.5


Povel
Habar njema kwa wazee wa jamvi na wapenda burudani ya soka
felister
nimemisi kumuona mtanzania mwenzagu akipata goli samagoal77
Ester jackson
Aaah jaman msituangushe Aston Villa mbwana samata unawaangusha watu wa mbagala
Gabriel
Nice update 👍 team samatta
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri kwa wapenda burudani kwa sisi wateja
David Pere
Vipi vizuri sanaa na vinaonyesha hii mechi utakuwa na uponzani sanaa
Theonestina
Habari nzuri Sana kwetu sisi mashabiki
Rehema
Hii ni habari njema kwa mashabiki
Theckla
Imekaa poa
Shafii
Sisi wazee wa majamvi tumekosa pesa kwa mda mrefu Sasa ni zamu ya kubeba mkwanja na ligi yetu pendwa EPL
isha
Big up chama langu
Elika
Aston villa najua game yao hii..hivyo basi nawatakia kila lakher
Samiah
Vizuri sanaaa chama langu
Magdalena
Kwa sisi washabiki wa samatta tunasubiria kuona mtanange mkali
Omary lukumbi
Kwa kweli tulikua tunaingoja kwa hamu sana
Mwanaidi
Hapa ni kuweka mkeka wa maana maana tulimis sana hivi vitu
Khadija
Habari njema kwetu mashabiki#meridianbettz
Tahiya
Ligi pendwa imarejea good news
Asia Abdy
Good news
Adelta
Good news#meridianbetz
Neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa kubeti
warda
Nawaonea huruma Aston Villa Ila wanaweza wasishuke daraja#Meridianbettz
Hope mwaikuka
Iko gud
Emmy cleopa
Iko vizur
Devotha
Iko pouwa
felister
nimemisi kumuona mtanzania mwenzagu akipata goli samagoal77
Caroline
Dahh raha sana…
lombo
vzur sana tulimis kumuona mbongo wenzetu mbwana sammata
Salma
Imekaa poa
Njiku
Safii kwa habari
Hamidu
Samagoal kuendeleza ubabe wake kama kawaida viva samata viva aston villa
Dorophina
Tnx meridian kwa taarifa
Ernest
Sheffield lazima wapata ushindi kwenye mechi hii
Genia Sikaluzwe
Daaaah ni raha sana
Sabrina
Maoni:Hii ni habari njema kwa washabik
Sadick
Mechi hii itakuwa ngumu sana endapo Aston Villa itapoteza basi safari ya kushuka Daraja na kwenda Championship #meridianbettz
Furahav
Hii mechi itakuwa balaa.
Zeiyana
Mtanzania mwenzetu sirmagol tumuombee timu yake isishuke daraja
Tatu
Imekaa vizuri