Barcelona: Messi Aifikia Rekodi ya Xavi.

Kunako klabu ya FC Barcelona, nyota wa timu hiyo, Lionel Messi ameendelea kuwa nguzo imara kwa vijana wa Catalunya msimu huu.

Barca walikuwa uwanjani jana usiku kupambana na Huesca katika mchezo uliochezwa kwenye dimba la Camp Nou.

Mpaka mwisho wa mchezo huo, ubao ulisomeka Barca 4 – Huesca 1 ambapo Lionel Messi alipachika magoli 2 na Antoine Griezmann akisaidiana na Oscar Mingueza walipachika goli 1 kila mmoja.

Messi akifunga goli katika mchezo dhidi ya Huesca. Huu ni mchezo wake wa 767 akiwa na Barcelona.

Ukiacha magoli mawili ya Messi, mchezaji huyo ameifikia rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na Xavi Hernandez kwa kuitumikia Barcelona kwa jumla ya michezo 767. Hii inamaanisha kwamba, endapo Messi atacheza mchezo dhidi ya Real Sociedad jumapili hii, mchezaji huyo anakwenda kuweka historia ya kuwa mchezaji aliyeitumikia Barca kwa michezo mingi zaidi.

Baada ya ushindi wa jana usiku, Barca imepanda mpaka nafasi ya 2 ikiwa imezidiwa alama 4 na vinara wa La Liga – Atletico Madrid.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Xavi yupo juu

    Jibu

    Hongera sana Messi

    Jibu

    Messi kiboko

    Jibu

    Safii sana Messi

    Jibu

    Messi kiboko

    Jibu

    Messi yupo vizuri

    Jibu

    Pongezi kwake messi

    Jibu

    Kumbe Xavi anajua kuwapita kina Messi?

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.