Borussia Dortmund huenda wakampoteza staa wao Jadon Sancho sokoni ambaye amehusishwa na klabu kadhaa. Man United wamekuwa wakihusishwa naye zaidi.
Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Dortmund Michael Zorc amesema kuwa klabu inaendelea kuangalia washambuliaji ambao wanaweza kuwa mbadala wa nafasi ya Sancho ikiwa staa huyu ataondoka klabuni hapo.
Dortmund watatarajia kukusanya kitita cha €120m kama watalazimika kumuuza staa huyu. Staa huyu alifika klabuni hapo mwaka 2017 akitokea Manchester City.

Baada ya kuulizwa kuhusu uwezekano wa Jadon Sancho kuondoka klabuni hapo, Zorc alisema wana kuna mpango juu ya hilo. Mpango uliopo ni kuhakikisha klabu inapata mbadala na hadi sasa tayari inawafuatilia kwa ukaribu washambuliaji wawili kwa sababu hiyo.
“Kama Jadon akiondoka, tutafanya kitu tena kwenye eneo la ushambuliaji. Kuna kama mchezaji mmoja au wawili tunawalenga.”
Sancho ametoa mchango mkubwa sana kwa timu yake akiwa amefunga magoli 17 na kutoa usaidizi wa magoli 16 huku Dortmund wakifanikiwa kumaliza nafasi ya pili kwenye Bundesliga.
Mshambuliaji huyu mwenye miaka 20 kwa jumla amefunga magoli 20 msimu huu kwa michuano yote. Dortmund wanatajwa kuwa wanampango wa kumsajili Jude Bellingham kutoka Birmingham City.
Zorc amesisitiza kuwa klabu inatarajia kutumia gharama ndogo kadri iwezekanavyo. Na kama itawalazimu kumuuza Sancho pia malengo yao kwa si kutumia zaidi ya Euro milioni 5-10 kwa mchezaji.
Furahia radha halisi ya Kasino ya Mtandaoni


Mariam mtandama
Vizur
Samiah
Safi
Povel tz
Ni kwl wajiandae mapemA kwn SANCHO Jordan anawindwa na Timu nyng SOKO ni vema kutafut mbadala wake mapemA kabla mambo hajafika shingon
Caroline
Sancho jmn.anatafutiwa mrithi
mwajuma
Nice#Meridianbettz
Njiku
Gud news
Magdalena
Habar si njema kwa Dortmund
Angelina
Good update
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema kwa mashabiki wa dortmund
Franky
Ni habari njema kwa mashabiki wa Dortmund..
Khadija
duh sancho anatafutiwa mrithi tena#meridianbett
Dorophina
Inaonekana hali yake sio nzuri kwa sasa asiweze kurejea uwanjani kipindi hiki mpaka wamtafutie mrithi
Shafii
Sokoni kwa sasa hakuko shwari maana kila mcheza bora anahitajika na vilabu vikubwa so kushinda hili inapaswa kujipanga Sana kifedha.
Adelta
Sancho namkubali Sana karibu man u
Hamidu
Sancho welcome man utd#meridianbettz
isha
Sancho karibu sana man u
Ester jackson
Sancho ni mchezaji mwenye uwezo wa juu ambao kila timu inataka impata ma ukizingatia kipindi hichi uchumi umeshuka hivyo kama timu itamuhitaji inabidi iwe na pesa nyingi kuweza kumnunua .
Lydia Emmanuel Magoti
Niabari njema kwamashabiki wa Dortmund
Ally mohamedi ally
Habar njema
Leonard
Vizuri kama sancho akibaki
Janeflora malisa
Nice
Ernest
Jadon Sancho hawezi kuendelea kusalia ndani ya club ya Dortmund, Ni wakati wake sasa kulamba deal nono
Saupha mohamed
Habari njema
Adelta
Sancho namkubali Sana karibu man u
devotha
kwa sasa uchumi wa klabu nyingi umeshuka Sancho hatouzwa kwa dau nono sana kulingana na uwezo wake bora auzwe msimu ujao wa kiangazi
Sabrina
Maoni:Man u. nao wamekua wakiwinda wachezaji wa klabu tofauti tofauti naona kucha anajipanga msimu ujao man u wawe hawashikiki
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet
Furahav
Kijana yuko vizuri.
warda
Acha Abadilishe upepo watafute tu mtu mwingine#Meridianbettz
Sadick
Tetesi hizi hupandisha bei ya mchezaji sokoni. Ni kawaida vyombo vya habari Uingereza kunadi mchezaji wao aonekane bora. Bei wanayotaka Dortmund ni kubwa mno kipindi hiki timu nyingi hazina uwezo wa kununua kwa bei hiyo#meridianbettz
Amiri Kayera
Saf wazame chimbo
Edgar
Mmmh akuna Kama yeye
Theonestina
Watampata tu.
Omary lukumbi
Sancho ni mchezaj hatar kwa sasa na kumsajili man United kutatengeneza kikosi hatar kwa mashetan wekundu pia naona kama wanajilaumu hv man city kumtoa huyu dogo kukipiga Dortmund akawa mzr zaid na kuuziwa mahasimu wao wa jiji moja kama wangejua kinacho kuja mbele sidhan kama wangempeleka Dortmund
Salma
Habari zuri kwa mashabiki wa dortmud
Mwanahamisi
Kijana namkubali sana
Theckla
Sancho ni mchezaji mzuri natamani angebaki aliko
David Pere
Ni Jambo zuri kumsaka mrithi wake mapema maana dogo ndio huyooo anasepa zake
Fatuma kasomo
Sancho ni mchezaji mzuri sana
Tatu
Ni habari nzuri kwa mashabiki wa Dortmund
felister
good news
Rehema
Duuh! Sio mbaya
Zeiyana
Replacement kwenye timu nijambo muhimu unapomuondoa mchezaji muhimu kwenye timu.
Hope mwaikuka
Fresh
Flomena
Sancho ni mchezaji mzuri sana