Eric Garcia Kusaini Miaka 5 na Barcelona!

Baki wa Manchester City, Eric Garcia anaripotiwa kuwa anasubiri tu kujiunga na Barcelona kwa mkataba wa miaka mitano.

Mkataba wa sasa wa Garcia unaisha mwisho wa mwezi ujao, na Pep Guardiola alithibitisha awali kuwa nyota huyu hajakubali kusaini mkataba mpya, hivyo atakuwa anaelekea Barcelona.

Tangia hapo, staa huyu amekuwa akihusishwa na Barcelona, ambao walijaribu kumsajili katika hatua za mwisho za usajili wa mwezi Januari kabla ya dili hilo kuvunjika.

Hata hivyo, taarifa zinasema kuwa Barcelona tayari wameshafanya makubaliano ya awali na Garcia ya mkataba wa miaka mitano, hadi 2026. Hivyo nyota huyu wa miaka 20, anatarajia kurejea Catalonia.

Fununu zaidi zinasema kuwa Joan Laporta tayari ameshatoa ruksa ya staa huyo kuwasili Barcelona kama mchezaji huru, na anaweza kuwa mchezaji rasmi wa Barcelona mwisho wa msimu.

Garcia alitokea katika klabu ya ya Barcelona akijiboresha kufikia kikosi cha kwanza kabla ya kuondoka Man City mwaka 2017.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Hongera sana Eric

    Jibu

    Ongera yake

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Bonge la dili

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Taarifa nzur

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.