Arsenal inaripotiwa wanalenga kukusanya £60m kwa mauzo ya wachezaji katika kipindi hiki cha majira ya joto kabla ya kampeni ya 2021-22 kuanza.
Baada ya kutolewa nje ya Ligi ya Uropa na Villarreal, pamoja na uwezekano finyu wa kumaliza katika nafasi saba za juu ya jedwali la Ligi Kuu, miaka 25 wa Gunners katika soka la Uropa inatarajiwa kufikia mwisho mwaka ujao.
Mikel Arteta inasemekana atasaidiwa na Stan Kroenke katika soko la uhamisho wa majira ya joto, na bosi wa Arsenal anafikiriwa kuwa anapanga marekebisho makubwa baada ya msimu huu mgumu kwao.
Kwa mujibu wa Football London, Washika bunduki watatafuta kuongeza kitita cha uhamisho wao kwa pauni milioni 60 msimu huu wa joto, na wachezaji wanaotajwa kuwkwa sokoni ni pamoja Bernd Leno, Hector Bellerin, Lucas Torreira, Sead Kolasinac, Ainsley Maitland-Niles na Matteo Guendouzi.
Pia kuna sintofahamu juu ya hatima ya Alexandre Lacazette na Eddie Nketiah, na Washika bunduki wanatajwa kumtazama fowadi wa Genk Paul Onuachu kama saini bora.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Venerose
Safi sana Arsenal
Sarah
Safi sana
Magdalena
Iongeze juhudi itafikia malengo
[email protected]
Good news
aisha
Big up kwaArsenal
Shakila
Good new
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Amiri Kayera
Team mbov