Dortmund Hakuna Jipya Kuhusu Brandt.

Klabu ya Borussia Dortmund imetoa tamko kuhusu tetesi za usajili wa Julian Brandt. Arsenal wanahusishwa na mchezaji huyo.

Brandt (miaka 24) anahusishwa kutimkia EPL mwezi huu ingawa bado anamkataba na klabu ya Borussia Dortmund mpaka 2024.

Mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo – Michael Zorc amenukuliwa akisema “sitaki kujibu tetesi za usajili zilizotengenezwa na vyombo vya habari. Mpaka sasa, Brandt ni mchezaji wetu na hatuna mpango wa kuachana nae.

Julian Brandt

“Kwa ujumla, tunaangalia mambo mengi hasa uchumi ambapo hali sio nzuri kwa sasa kutokana na janga la COVID19.

“Lakini ninaweza kusema tena, hakuna ofa iliyotufikia mpaka sasa.” aliwaambia waandishi wa habari.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

20 Komentara

    Asante kwa taarifa meridian bett pesa njenje

    Jibu

    Brandt haendi popote hadi mkataba wake uishe

    Jibu

    Brandt anahusishwa kutimkia EPL mwezi huu ingawa bado anamkataba na klabu ya Borussia Dortmund mpaka 2024.

    Jibu

    Brandt jembe

    Jibu

    Dogo asikimbie kwa kukurupuka aangalie kwanza

    Jibu

    Imeeleweka sana

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Brant jeshi

    Jibu

    Brant Yuko poa

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Brant Yuko vizuli

    Jibu

    Brant baba lao

    Jibu

    Kumbe mkataba haujaisha mbona waandishi wanazusha tu

    Jibu

    Waandishi wanataka tu kuuza habari zao.

    Jibu

    saf

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Mbona kijana yuko vizuri

    Jibu

    Dortmund i.etimia

    Jibu

    Mie napita tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.