Rafael Leao Haendi Popote

Winga Rafael Leao siku za hivi karibuni amekua akihusishwa na klabu ya Barcelona kutoka nchini Hispania kitu ambacho mkurugenzi huyo wa Ac Milan amekanusha vikali, Mchezaji huyo amekua mtu muhimu ndani ya klabu ya Ac Milan kwa misimu mitatu sasa hivo sio rahisi kumuachia kirahisi.
Makala iliyopita
Manuel Ugarte Kucheza Man United kwa MkopoMakala ijayo
YANGA KUWAFANYA NGAZI VITAL ‘O AZAM COMPLEX