Gemu ya mwazo kabisa ya Ligi Kuu ya Uingereza inawashuhudia Cardiff wakiwa wenyeji wa Chelsea, wawili hawa wote wana njaa kali ya pointi 3 kwa sababu zo tofauti. Cardiff wanataka kutoka nafasi za mkiani huku Chelsea wakisaka kumaliza 4 bora -Top 4! N’Golo Kante na Eden Hazard hawapo kikosi cha 1!
Wakati vikosi vinatajwa, Chelsea wamewaacha mashabiki wao na mshangao wa sababu za kukosekana kwenye kikosi cha 1 wataalamu Eden Hazard na N’Golo Kante.
Hivi ndio vikosi vinavyoanza
Cardiff City XI: Etheridge, Peltier, Morrison, Ecuele Manga, Bennett, Gunnarsson, Josh Murphy, Victor Camarasa, Arter, Hoilett, Niasse
Subs: Ralls, Zohore, Reid, Bacuna, Mendez-Laing, Harris, Brian Murphy
Chelsea XI: Kepa, Azpilicueta, Rudiger, Luiz, Alonso, Kovacic, Jorginho, Barkley, Pedro, Higuain, Willian
Subs: Kante, Hazard, Loftus-Cheek, Caballero, Giroud, Hudson-Odoi, Christensen
Sababu ni nini?
Sarri anajua kwa nini ameamua kufanya hivi kwa gemu hii. Rekodi zinaonesha kuwa kante anakuwa anakosa kuwa katikia kikosi cha kwanza cha Chelsea kwa mara ya kwanza, wote yeye na Hazard hawajapata jeraha wakati wa likizo ya kimataifa.


Furahav
Kawaida tu.
Povel tz
Duh