Uongozi wa Simba unaamini Yanga walikimbia baada ya kuamua kuondoka uwanjani mapema kutokana na ratiba ya muda kupelekwa mbele ghafla ambapo awali ilikuwa uchezwa saa 11:00 jioni na ukapelekwa mbele mpaka 1:00 usiku.
Didier Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walijipanga kwa ajili ya mchezo wa jana ila wameshtushwa na kilichotokea kwa kuwa wote walipokea taarifa muda mmoja.
“Hamna namna kwetu imekuwa ni mshtuko kwa kilichotokea, tulijandaa na tulikuwa tayari kwa ajili ya mchezo.
“Zaidi ni kwamba tunaweza kusema kwamba haikuwa sawa kwa mashabiki ambao walijitokeza kuona burudani haijawa hivyo. Tunarudi kambini kwa ajili ya maandalizi mengine kwani tunatarajia kuondoka Jumatatu,”.
Simba inatarajiwa kukwea pipa Jumatatu kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Kaizer Chiefs.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!
Didier Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walijipanga kwa ajili ya mchezo wa jana ila wameshtushwa na kilichotokea kwa kuwa wote walipokea taarifa muda mmoja.
Kwa kweli hii inasikitisha sana kuona mpira umeshapangwa halafu gafla unairishwa
Kumbe hata uko ypo
Yani Jana yanga kama walijua tungewafunga
Habar njema
Ila yanga wako sahii
Gud news
Habari nzuri
Ni balaa
Yanga wapo sahihi
Yani wamestuka yanga Angekula nyingi kwasababu amepaniwa Sana Yani nasimba
Duuh mimi siongei