Gomes: Tulijiandaa Kucheza, Tumeshangazwa

Uongozi wa Simba unaamini Yanga walikimbia baada ya kuamua kuondoka uwanjani mapema kutokana na ratiba ya muda kupelekwa mbele ghafla ambapo awali ilikuwa uchezwa saa 11:00 jioni na ukapelekwa mbele mpaka 1:00 usiku.

gomes

Didier Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walijipanga kwa ajili ya mchezo wa jana ila wameshtushwa na kilichotokea kwa kuwa wote walipokea taarifa muda mmoja.

“Hamna namna kwetu imekuwa ni mshtuko kwa kilichotokea, tulijandaa na tulikuwa tayari kwa ajili ya mchezo.

“Zaidi ni kwamba tunaweza kusema kwamba haikuwa sawa kwa mashabiki ambao walijitokeza kuona burudani haijawa hivyo. Tunarudi kambini kwa ajili ya maandalizi mengine kwani tunatarajia kuondoka Jumatatu,”.

Simba inatarajiwa kukwea pipa Jumatatu kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Kaizer Chiefs.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

12 Komentara

    Didier Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walijipanga kwa ajili ya mchezo wa jana ila wameshtushwa na kilichotokea kwa kuwa wote walipokea taarifa muda mmoja.

    Jibu

    Kwa kweli hii inasikitisha sana kuona mpira umeshapangwa halafu gafla unairishwa

    Jibu

    Kumbe hata uko ypo

    Jibu

    Yani Jana yanga kama walijua tungewafunga

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Ila yanga wako sahii

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Ni balaa

    Jibu

    Yanga wapo sahihi

    Jibu

    Yani wamestuka yanga Angekula nyingi kwasababu amepaniwa Sana Yani nasimba

    Jibu

    Duuh mimi siongei

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.