Havertz Yupotayari Kujifunza kwa Lampard

Kai Havertz amefurahishwa na usajili wake wa kujiunga na Chelsea chini ya Lampard. Kwa mujibu wa Kai, hii ni ndoto yake imetimia.

Japokuwa anakubaliana na uhalisia kwamba anahitaji muda wa kujiweka sawa na kuizoea Ligi ya Uingereza, Kai anasema anampenda Lampard tangu akiwa mtoto na ni furaha kwake kufanya nae kazi akiwa Chelsea.

“Ndio, nimekuwa nikimtizama [Lampard] tangu nikiwa mtoto. Ni kitu kikubwa kuwa na kocha ambaye amecheza EPL kwa miaka mingi.

“Nilikuwa ninampenda kama mchezaji. Ni moja ya wachezaji bora wa Uingereza kipindi chake. Yeye na Chelsea ni vitu vikubwa. EPL inawachezaji wakubwa duniani.

“Ninafuraha ni kocha wangu sasa. Ni hatua kubwa kuja kwenye EPL, nimekuwa nikiiangalia nilipokuwa mtoto. Ninafuraha kucheza kwenye moja ya timu kubwa Uingereza na duniani.

“Nilikuwa ninandoto ya kuichezea EPL nilipokuwa mtoto, sasa ndoto imekuwa kweli japo naona kama ni mapema sana, nina miaka 21 tu. Siamini kama ni mimi nitakayekuwa ninaichezea klabu kama Chelsea.”

Havertz alijiunga na Chelsea kwa dau la pauni milioni 72 akitokea Bayer Leverkusen inayocheza Bundesliga – Ujerumani.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

47 Komentara

    Kai ndoto yake imetimia kupiga kazi na Lampard atakinukisha Dogo huyo hapo

    Jibu

    Havertz atajifunza mengi kupitia lampard maana lampard yupo vizuri sana na Ni mkongwe kwenye soka

    Jibu

    hongera kwa kutimiza moja ya ndoto zako

    Jibu

    Inabidi akaze Uingereza si ligi ya mchezo mchezo ili uendelee kua bora

    Jibu

    Kai ametimiza ndoto yake

    Jibu

    Chelsea wamejitaidi sana kusajiri wachezaji chipukizi

    Jibu

    Havertz atapata mengi sana ya faida kutoka kwa Lampard.

    Jibu

    Kikosi cha Chelsea ni moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Havertz anahitaji muda kidogo tuu kuizoea ligi ya Uingereza

    Jibu

    Lampard ni kocha mzuri sana

    Jibu

    Usajili mzur

    Jibu

    Havertz Yuko vizuri na anapenda kujifunza@meridianbettz

    Jibu

    Nivizuri kujifunza kwamwenzako city au jambo ambapo ulijui#meridianbett

    Jibu

    Karbu sana EPL Havertz

    Jibu

    Lampard yuko vizur sana

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Usajili mzuri

    Jibu

    Goodnews

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Lampard ni kocha mzuri sana

    Jibu

    Havertz yuko vizuri

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Mjomba Kai hiyo Epl hiyo jikaze mzee kila game ni ngumu

    Jibu

    Lampard yupo vizuri

    Jibu

    Ni furaha Sana mtu akitimiza ndoto yake

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Kai Havertz anatarajiiwa kuonyesha thamani yake uwanja. Lampard pamoja ya kwamba alikuwa kiungo lakini ndio mfungaji namba moja all the time wa Chelsea kwahiyo ana mlima mkubwa wa kupanda#meridianbettz

    Jibu

    Usajiri mzuri#meridianbettz

    Jibu

    Kula la kher kai

    Jibu

    Lampard ni kocha mzuri yupo vizuri Havertz atapata mengi kupitia lampard

    Jibu

    Kai harvest akifuata misingi ya lampard atakuja kufanya makubwa Sana.

    Jibu

    Lampard ni kocha mzuri

    Jibu

    Inabidi akaze Uingereza si ligi ya mchezo mchezo ili uendelee kua bora

    Jibu

    Kai dau lake na uwezo wake mmmh🙉🙉🙉

    Jibu

    Mambo yatakua mazuri sana kwa uwepo wake!!

    Jibu

    lampard yupo vizuri sana katika kufundisha kijana atajifunza kitu sana

    Jibu

    Lampard ni kocha mzuri

    Jibu

    Acha tuone atafanya nini maana ligi ya uingereza sio poa

    Jibu

    Alikuwa na ndoto ya kuchezea EPL tang yungali mtt nadhan ndoto zake zmetimia havertz akiwa chini ya lampard aendelee kujikaza league ya uingereza sio poa.

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Inapendeza sana

    Jibu

    Lampard nguli lazima ufate tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.