Infantino Amkataa Ahmad Uraisi CAF

Rais wa Club ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini Patrice Motsepe anatajwa kuwa Rais mpya wa CAF baada ya Ahmad Ahmad kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CAF March 12 2021 nchini Morocco.

Patrice Motsepe

Inaripotiwa na Waandishi mbalimbali Afrika kuwa Rais wa FIFA Gianni Infantino amewashauri Jacques Anouma, Augustin Senghor na Ahmed Yahya kujitoa na kumuunga mkono Motsepe ili amshinde Ahmad Ahmad katika kinyang’a nyiro cha uraisi CAF.

Jacques Anouma

Inaripotiwa kuwa Rais wa FIFA Infantino na Rais wa sasa wa CAF Ahmad Ahmad haziivi tena na sasa, Infantino anatumia nguvu nyingi kuhakikisha Ahmad Ahmad harudi tena madarakani baada ya jaribio la kumfungia kugonga mwamba kwa Mahakama ya Kimichezo Duniani (CAS) kutengua uamuzi wa FIFA.


Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx

Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.

  CHEZA HAPA

8 Komentara

    Duuh

    Jibu

    Asante kwa taalifa

    Jibu

    Mambo gani ya kuingilia uchaguzi? Kuna maslahi gani hapo?

    Jibu

    Daahh

    Jibu

    Duh

    Jibu

    Hapo kazi ipo

    Jibu

    Ameona mbali uyu

    Jibu

    Hongera yake Ahmed

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.