Jonas Mkude Asimamishwa Simba

Kiungo Mwandamizi, Nungunungu, Jonas Gerard Mkude, amesimamishwa kucheza kandanda na klabu yake ya Simba kwa tuhuma za utovu wa nidhamu.

Mkude ambaye alianza kung’ara Simba msimu wa 2011/2012 hadi sasa 2020, anapelekwa kamati ya nidhamu ya klabu kujadili sakata lake.

Taarifa ambayo imetolewa leo na uongozi wa Simba imeeleza kuwa amesimamishwa kutokana na masuala ya utovu wa nidhamu pamoja na masuala mengine.

Habari hiyo imeeleza kuwa hatua hiyo imefikia ili kamati ya nidhamu iweze kufanya uchunguzi juu ya tuhuma zinazomhusu Mkude.

Taarifa hiyo imeeleza namna hii:-

Hata hivyo, uongozi wa Simba haujaweka wazi kosa la Mkude.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

16 Komentara

    Mkude anajisahau tatizo

    Jibu

    Mkude atapoteza uaminifu kwa mashabiki zake

    Jibu

    Duuu mkude anachofanya sasa sio kitu poa angalie

    Jibu

    Mkude atapoteza uwaminifu

    Jibu

    Shuhuli mnayo Simba

    Jibu

    Huyu mkude kila siku matukio tu

    Jibu

    Wanalewa na umaalufu

    Jibu

    Umaarufu umemfanya mkude ajisahau

    Jibu

    Mmmh mkude atali kwa nn unajishau sana

    Jibu

    Aadhibiwe tu

    Jibu

    Utovu wa nidhamu huo

    Jibu

    Nidhamu yake sio nzuri apewe tu adhabu

    Jibu

    Tumeshamchoka huyo mkude kila siku ni yeye

    Jibu

    Mkude ajirekebishe la sivyo atapotea katika soka

    Jibu

    Apewe adhabu tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.