Juventus Wakubaliana na Dembélé

Klabu ya Juventus imekubalina na winga wa klabu ya Barcelona Ousmane Dembélé ili kuweza kujiunga na miamba hiyo ya nchini Italia kwa uhamisho huru mwishoni mwa msimu.

Mkataba wa mchezaji huyo wa kifaransa unaisha mwezi June 2022 na kuanzia January atakuwa huru kufanya mazungumzo na klabu yeyote, pia na kusaini mkata wa awali na klabu yeyote, mazungumzo kuhusu mkataba mpya na klabu ya Barcelona yameshindikana na leo wamefikia tamati.

Juventus

Kulingana na taarifa kutoka nchini Hispania Ousmane Dembélé amekataa offa ambayo klabu ya Barcelona wamempa kuamua kuondoka mwishoni mwa msimu kuisha.

Ousmane Dembélé japo amekubaliana na klabu ya Juventus lakini bado hajasini mkataba wowote, pia anasubili offa ya kutoka klabu ya PSG na klabu ya Manchester United na yenyewe imeshapeleka offa ya kuhitaji huduma ya mchezaji huyo kwa wakala wake Moussa Sissoko lakini bado haijajibiwa.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.