Real Madrid wameripotiwa kuwa wameikataa ofa ya Tottenham Hotspurs ya kumtumia Dele Alli kama sehemu ya mchakato wa uhamisho wa Gareth Bale.
Real Madrid walikuwa wanatajwa kuwa wapo katika mipango ya kupeana taraka na nyota Gareth Bale ambaye ana miaka 31 kwa sasa, sababu ikitajwa kuwa ni ukubwa wa mshahara na kutoendana na meneja Zinedine Zidane.
Kutokana na Bale kutokuwa kwenye mipango ya Zidane, wakala wa Bale anasema kuwa staa huyu anataka kurejea Uingereza na tayari vilabu viwili vimeshaonesha nia ya kuitaka saini yake.

Spurs ni moja ya klabu ambazo zipo kwenye mazungumzo ya kuinasa saini ya nyota huyu, hata hivyo, mshahara Gareth Bale unaonekana kuwa unaweza kuwa changamoto kwa Spurs na katika mpango wao wameamua kumhusisha Dele Alli kama sehemu ya dili hili.
Kwa mujibu wa chapisho la The Express, Real Madrid hawana mpango wowote wa kumsajili Dele Alli licha ya kuwa na nia ya kutaka kumuuza Bale kwa sasa.
Real wameshusha ada ya staa huyu hadi kufikia £18m kwa klabu ambayo itakuwa tayari kumchukua na kumsainisha mkataba wa kudumu, ila kama hili halitawezekana anaweza kuondoka Real kwa mkopo wa mwaka mmoja kwa sasa.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Zeiyana
Kwa ali ya uchumi ilivyo sujui kama bale hataweza kupata usajili clabu yengine labda kama inavyo semekana kwa mkopo
Dorophina
Bora Madrid wameshtuka
Elika
Bora iwe hivyo
Caroline
Ata Kama wamekataa lakini watu kibao wanawinda saini yake
magdalena
madrid kumtoa bale ni ngumu sana ana mchango mkubwa sana pale
Mwajumah
Bale kutolewa madrid ni ngumu sana#Meridianbettz
Adelta
Bale kutolewa Ni ngumu kumeza#meridianbettz
aisha
Madrid wana akili sana wameshituka
Nasra
Bora hvyo tu
Shafii
Bale kwa umri wake miaka 31 na kiwango chake kimeshuka Sana angefanya akapunguza mshahara wake.
Salma ngende
Duh!
Shani
Bale inavyoonyesha anawez kurudi totenham
Sauda
Afadhali Madrid wamegundua hilo
Janeflora malisa
🔥🔥
Saupha mohamed
Bale kutoka Madrid ngumu
Fatuma kasomo
Gud news
Hopemwaikuka
Aiwezekan ilo
Gabriel
Bale kiwango chake kimeshuka Sana angefanya akapunguza mshahara wake
Neema
Watakuwa wameona mbalii wameshindwa kukurupuka
Khadija
Good#meridianbettz
Mariam mtandama
Habari njema
Amiri Kayera
Mchezaj awamtuu c wamuache asepe
Rose kapinga
Bale jembee
Issa
Bale atafute pahala pengine atakapokuw anathaminw arudishe hadhi yake
Sabrina
Bale no mchezaji mzuri madrid bado wanamuhutaji tu
Theonestina
Duuuh
Genia Sikaluzwe
Ni vizuri ikawa hivyo
Theckla
Hapo pagumu
Rehema
Duu!
Frank
Mbona kama sio sawa sasa kumtoa kwa style hyo hawataki si kumpotezea muda mchezaji huko …ndio maana anawagomea anawapiga hela ya mshahara tu
Njiku
Licha ya mshara wanachofanya real madrid ni kumkomoa bale na sio kingine
Ester jackson
Real Madrid wanataka kumkomoa bade Mara ngapi ofa zimejitokeza wakakataa na kiwango chake kushuka ni kwa sababu hajapata nafasi nyingi za kucheza
Ernest
Dele Alli kuingia kwenye Balaa tena la kuwa chambo lakini mambo magumu hii ni dalili ya Bale kuendelea kutapatapa kupata timu.
felister
wamtoe kwa mkopo kama vipi
Tatu
Madrid wameona wakiwauza wachezaji hao awatapata mchezaji mzuri kama bale
David Pere
Real wameshusha ada ya staa huyu hadi kufikia £18m kwa klabu ambayo itakuwa tayari kumchukua na kumsainisha mkataba wa kudumu, ila kama hili halitawezekana anaweza kuondoka Real kwa mkopo wa mwaka mmoja kwa sasa.
Povel
Covid-19 imesababish yote haya Madrid wanashindwa fungu la kumlipa bale wanatafut timu ya kuchanga nayo kwl majanga kwl