Kunako michezo wa NBA Play-Offs, Denver Nuggets wameweka historia ya kupindua matokeo ya 3-1 kwenye mchezo mmoja dhidi ya LA Clippers.
Mchezo wa Nuggets dhidi ya Clippers umechezwa mara 7 mpaka kumpata mshindi ambaye atacheza fainali ya Western Conference dhidi ya LA Lakers.
Jamal Murray aliifungia Nuggets pointi 40 katika mchezo ambao wamewagaragaza Clippers kwa pointi 104-89.
“Tuliaminiana” amesema Jamal Murray baada ya mchezo huo.
Kabla ya mchezo huu, Nuggets walihitaji michezo 7 ili kuwaondoa Utah Jazz na sasa wamerudia tena mtindo uleule kuwaondoa Clippers.
Kwa kipigo hiki, historia ya Clippers inaendelea kuimarika wakiwa hawafuzu fainali yeyote kwenye Conferences za NBA kwa miaka 50.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


magdalena
pongezi kwake alifanya vizuri sana
Dorophina
NBA wanakuja na speed sio ya kitoto
Tumaini kasalile
Asante kwa taarifa
Sabrina
NBA mambo yamepamba moto
Rama
Duuu nba asaivi haitabiriki kabisa
Samiah
Asanteee kwa taarifa
Theckla
Amefanya vizuri
Furahav
Wako vizuri
Tatu
NBA mambo yanazidi kuwa mazuri
Lydia Emmanuel Magoti
NBA kumenoga
felister
NBA kumepamba moto
Gabriel
NBA inakuja vzur
Neema
Wako vizurii