'Mayweather, Amestaafu lakini yupo Mchezoni!

Floyd Mayweather ametangaza kustaafu mara tatu!

Ni bondia ambaye amejijengea umaarufu mkubwa kwa uwezo wake ulingoni akifanikiwa kushinda mapambano yake yote 50 aliyopambana. Pia amejizolea umaarufu zaidi kwa utajiri alionao, huku akitamba kwa jina la “Money” na timu yake ikiitwa “Money Team” au “Team Money”.

Licha ya uwezo wake Ulingoni, bingwa huyu ametangaza kustaafu mara tatu. Kwa mara ya kwanza Mayweather alitangaza kustaafu mwaka 2007 baada ya kumtandika KO Ricky Hatton kwenye raundi ya 10.

Miaka miwili baada ya kustaafu Mayweather aliamua kutinga tena ulingoni kupambana na Juan Manuel Marquez, ilikuwa 2009. Katika kurejea kwake alipata ushindi katika mapambano 10, yakiongezeka katika mapambano 39 aliyoshinda kabla ya kutangaza kustaafu.

Mayweather Kulipia Mazishi ya George Floyd
Amepigana jumla ya mapambano 50 na kushinda yote.

Katika mapambano 10 ya kurejea kwake alishinda jumla ya dola milioni 600. Alitangaza kustaafu kwa mara ya pili mwaka 2015 baada ya kuchapana na Andre Berto na kukamilisha rekodi ya mapambano 49 bila kupigwa. Hapa alikuwa na umri wa miaka 38.

Kwa mara ya tatu, Mayweather alitangaza kustaafu mwaka 2017 baada ya kurejea na kumpiga Conor McGregor katika raundi ya 10. Pambano hili lilimuacha na kitita cha dola milioni 275. Hapa alikamilisha mapambano 50 katika ndondi za kulipwa bila kupoteza pambano.

Ametangaza Kustaafu lakini yupo Mchezoni!

Kwa sasa anamiliki klabu ya bosing ya “Mayweather Boxing Club”. Na anafundisha na kufanya mazoezi ili kuendelea kuwepo kwenye fomu nzuri. Licha ya kutangaza kustaafu, mbado yupo tayari kuruka ulingoni kila anapopata ofa ya hela kubwa.

Wengi wanaona kuwa bingwa huyu asipoamua kustaafu mazima akiwa na rekodi yake nzuri aliyonayo, basi atastaafu kwa lazima kwa aimu ya kupoteza pambano.

Wewe una mtazamo gani? Nitafurahi kusoma maoni yako hapa chini.

 


Una nafasi ya kubashiri michezo mingi kadri uwezavyo hapa na Meridianbet

BONYEZA KUJIUNGA

46 Komentara

    Floyd Mayweather bonge la bondia yn

    Jibu

    Floyd Mayweather- Team money napenda kumuita mzee wa kupiga pesa tuu yeye ndo ufahari wake

    Jibu

    bado anauwezo sana hakuna haja ya kutangaza kustaafu kila mara

    Jibu

    Floyd Mayweather bonge labondia mtu wakupiga pesa namkubali achoki akili nyingi huyo jamahaa

    Jibu

    Maoni:Floyd Mayweather hana masihala akiwa ulingoni jamaa mbabe wa ulingo

    Jibu

    Mayweather umri umeenda lkn bado yupo vizuri mzee wa kutengeneza bingo uwanjani ngumi yake si ya kitoto

    Jibu

    Mayweather yupo vizuri Sana katika ngumi namkubali

    Jibu

    Floyd Mayweather ni bondia anaejali kazi yake ya gumi

    Jibu

    Ningependa aendelee kuonyesha uwezo wake ulingoni#meridianbettz

    Jibu

    Floyd Mayweather n bonge la bondia huyu namkubal sana kwa style yake ya uchezaji ngumi ni bondia ambaye mwepesi sana kuwepa Mayweather ameingia katika rekodi ya mabondia wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka, pambano lake la mwisho la mwaka 2015, kabla ya kustaafu, alimpiga bondia kutoka Ufilipino, Manny Pacquiao mwenye urefu wa futi tano na nchi 5, na uzito kilo 66, baada ya kuibuka mshindi katika pambano hilo mashabiki walimpachika jina la The Best Ever au T.B.E.
    Bondia huyu ambaye pia ni mjasiriamali ana miliki akaunti moja ya benki yenye zaidi ya dola milioni 123 ndani yake.
    Mayweather ni kiongozi wa kundi liitwalo The Money Team (T.M.T), na upande wa pili wa maisha ya kimapenzi, bado hajaoa hadi sasa ila ni baba wa watoto wanne kwa wanawake tofauti, mpenzi wake wa awali Jossie Harris amezaa naye watoto wawili wa kiume Koraun na Zion, na mmoja wa kike anayeitwa Jirah.
    Mtoto wake wa mwisho anaitwa Iyyana, amezaa na mpenzi wake mwingine, Mellisia Brim. Alishawahi kutumikia kifungo jela huko Las Vegas kwa kosa la unyanyasaji na vurugu ila namtambua Kama bondia tajir mwenye mafanikio sana πŸ‘

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Mpiga pesa huyoo Mayweather #meridianbettz

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    duh

    Jibu

    bonge labondia mtu wakupiga pesa namkubali achoki akili nyingi huyo jamahaa

    Jibu

    Namkubali sana.

    Jibu

    Namkubali sana Mayweather#Meridianbettz

    Jibu

    Bondia Atari sana uyuu…#meridianbet

    Jibu

    Vizur bad anapg pesa

    Jibu

    nakubali

    Jibu

    Ningependa mayweather aendelee kuwa na kipaji zaidi

    Jibu

    Mzee wa TMT “the money team” flody mayweather ni bingwa wa ndondi dunian ila nakumbuka pambano lilo shika vichwa vya watu lile alopigana na man pacquao lilisisimua watu maana lilikua na mvuto kuona mabibgwa wakitwangana ni mtu mwenye utajiri mkubwa na umri mdogo amekua maarufu sana kwa uwezo wake anao onesha ulingoni team yake

    Jibu

    Mayweather bondia hatari

    Jibu

    Ingefikia hatua awaachae wanafunzi wake

    Jibu

    Namkubar Sana uyo bondia

    Jibu

    Wanapenda sana kuonekana wao waache vipaji vipya navyo vijulikane

    Jibu

    Huyu jamaa no chizi wa pesa japo anasema amestafu lakini Kama kutatoke mtu mwenye mpunga anatudi na kuzichapa ili apate pesaaa

    Jibu

    Ni bondia ambae anajiamini na ana jua anachofanya ,ila ana sifa sana ,ila hana mpinzani

    Jibu

    Yupo vizuri Sana.

    Jibu

    Anasubiri astaafu kwa kipigo

    Jibu

    Yupo vizuri aendelee tu kuonyesha uwezo wake ulingoni

    Jibu

    Yuko vizuri sana

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Namkubali sana mayweather mpiganaji anayejikubali bondia asiyekubali kupiga#meridianbettz

    Jibu

    Kazi na umri

    Jibu

    Floyd Mayweather n bonge la bondia huyu namkubal sana kwa style yake ya uchezaji ngumi ni bondia ambaye mwepesi sana kuwepa Mayweather ameingia katika rekodi ya mabondia wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi kwa mwaka. Pia alionyesha kuguswa sana na tukio la ubaguzi wa rangi lililotokea nchini marekani kwa kijana Floyd mpaka kupoteza maisha lakini aliweza kuchangia pesa za mazishi yake huo ni uungwana ambao unaonyesha UPENDO kwa watu .#meridianbettz

    Jibu

    Siku ambayo hatapigana ulingoni na kushindwa kwa raund

    Jibu

    Siku akipigana ulingoni akapigwa kwa raond moja tu ndio hata staafu kucheza

    Jibu

    ni bondia aliyejijengea umaharufu mkubwa akiwepo ulingoni

    Jibu

    Aiseee!

    Jibu

    Huyo jamaa anaseti pambano rahisi ajizolee sifa na pesa Hana lolote.

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Jamaa namkubalii sanaa

    Jibu

    Atulie na yy pesa si ipo

    Jibu

    Kazi na umri aachie ngazi tu

    Jibu

    Moneyman ni noma sana rekodi isiyofutika na hela ndefu

    Jibu

Acha ujumbe