Mourinho: Tottenham Watashinda Mataji Nikiwepo

Ni miaka 12 sasa Tottenham wanakaa bila kushinda taji. Meneja wa sasa Jose Mourinho anaamini yeye ndiye mwenye ya kubadilisha historia ya wana hawa wa London.

Mourinho, anatarajia kuwa ataondoka ukame wa mataji klabuni hapo kabla ya mkataba wake kuisha, akiongeza jitihada za Spurs pale alipoishia mtangulizi wake Mauricio Pochettino.

Msimu wa mwaka jana walifanikiwa kufika fainali ya Ligi ya Mabingwa, lakini haikuwa bahati yao kuondoka ukame wa mataji tangia mwaka 2008 waliposhindwa Kombe la Ligi. Msimu huu pia unaelekea kuisha patupu.

Wakati Mourinho alipanga kuwa atahakikisha wanaondokana na ukame wa mataji, amebainisha kuwa itachukua mda na inahitaji uvumilivu. Ametumia mfano wa Liverpool waliosubiri miaka 30 kuchukua taji EPL kuonesha kuwa inahitaji uvumilivu.

Kwake yeye, anaweza kumtazama Jurgen Klopp pale Liverpool kama mfano. Klopp ametumia miaka 4, ambayo ni misimu 4 kuhakikisha wanapata taji la EPL. Bila shaka inawezekana kwa Tottenham na timu yeyote inayojipanga na kuwekeza kwa umakini kwa wachezaji wazuri.

Mourinho anaamini klabu ipo tayari kuwekeza. Na tayari wamefanya hivyo katika madirisha kadha yaliyopita. Nafasi yake ni kuangalia klabu inataka nini kushinda na hataki kuangalia tena mafanikio yake binafsi.

 


Unafurahia kubashiri michezo gani? Hapa Meridianbet ndiyo nyumbani. Unapata fursa ya kubashiri michezo mingi upendavyo. Kuanzia Soka mpaka Casino.

JISAJILI HAPA UFURAHIE BONASI NA USHINDI

 

44 Komentara

    Gud news

    Jibu

    Tottenham inatakiwa wapate kocha mzuri wakuweza kuwasaidia kuwapandisha daraja

    Jibu

    jose mourinho kweli utaweza kubadilisha historia ..aya tunasubiri tuone

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Tottenham hawawezi kupata Mataji wakiwa na Mourinho labda coach abadilishwe

    Jibu

    Poleni sana tottenham kwa kukosa mataji ndani ya miaka 12 tatizo hamna kocha mbunifu mkipata kocha mbunifu mtapata mataji

    Jibu

    Tottenham wanatakiwa kupata kocha mzuri wa kuwaongoza ili wawezi kupanda daraja

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Tottenham wanatakiwa kujitahidi na kujituma wenyewe sio mpaka kusubili mourinho hayo ni maneno yake kila klabu lazima aongee

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Ni kweli Tottenham wawe na uvumilivu tu wampokee mourinho kwa moya mmoja mourihno ni kocha wa kipee akiamua hanaweza na imani hatahakikisha wanaondoka na ukamae wa mataji hinaitaji uvumilivu kuchukua mfano wa Liverpool walio subir miaka 30 kuchukua taji la EPL

    Jibu

    Jose Hana mpya kaja kuiharibu spurs#meridianbettz

    Jibu

    kwa upande wangu mourhino hawezi ifikisha spurs kokote

    Jibu

    Nikweli Mourinho anacho kisema

    Jibu

    Makala mazur

    Jibu

    Jose Mourinho anaweza kuwafanya kufika katika lengo ambalo wanataka kufika kama tu wataenda nae sawa mana ukiangalia katika historia yake ameshawapa ubingwa Chelsea na kama wakisikilizana pia anaweza kufanya hivyo ingawa kunamakosa madogo madogo yaliyo upande wake kama binadamu tu .asante meridian kwa nakala

    Jibu

    Nafasi ya kuangalia club ina taka nini ndo muimu ili awze kuleta wachezaji wenye uwezo na konki

    Jibu

    Jose mourinho katulie tu nyumbani ulee wajukuu mpira umeshakukataa

    Jibu

    Mourinho ni kocha mzuri ila kwa sasa ameshachoka apumzike

    Jibu

    Safi sana monrinho kwa kutokata tamaa.

    Jibu

    ourinho anamkosi wake tuu unamuwinda wakati wote, zama zake zimekwisha sasa

    Jibu

    Special one Jose Mourinho history inambeba kila timu aliyopitiah alifanikiwah kuwapa mataj co hata mm nategemeah makubwa kutoka kwake

    Jibu

    gud news mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Morinho Kwa totenham nakataa

    Jibu

    Mourinho ni kocha mzuri sana mataji watapata ila mfumo wa wachezaji kwa ujumla ataubadilisha watadiffence baraa timu haitochezaa

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    acha uwongo bhn

    Jibu

    Good

    Jibu

    Pambana tu mournho

    Jibu

    Joseph Morinho ni kocha mzuri sana anaweza akafanya mabadiliko kweli

    Jibu

    We morinho hauna lolote.

    Jibu

    Yetu macho na masikio

    Jibu

    Daniel Levy alifanya uamuzi mbaya kumufukuza Pochettino na tangu aondoke na kuja Mourinho sijaona mpira wowote wa timu inayotaka kuchukua Kombe lolote#meridianbettz

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    José morihno ni kocha mzr wakimuamini na kumvumilia wakampa.muda basi special one atafanya yake

    Jibu

    Zidi kuwatia moyo

    Jibu

    Shuhuli hana huyo

    Jibu

    So kweli ansjiko anjikosha tu Hana jpya

    Jibu

    Wakimsikiliza kocha na wakiwa na umoja wanaweza twaa hayo mataji

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    hahaha mzee ubora umekwishwa

    Jibu

    Jamani Acha ajipe matumaini#Meridianbettz

    Jibu

    Tunasubiri tuone mabadiriko kutoka kwa Josee Morihno

    Jibu

    Mwenye macho haambiwi tazama ngoja tujionee wenyewe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.