Paris Saint-Germain -PSG na Manchester City, wote wanafukuzia saini ya beki Kalidou Koulibaly wa Napoli.
Kwa mujibu wa ripoti, PSG ndiyo wako karibu zaidi wakiwa wanaongoza katika kuifukuzia saini ya staa huyu.
Bosi wa Napoli, Genaro Gattuso aliweka wazi wiki iliyopita kuwa ili kuweka sawa mambo katika vitabu vyao, wanaweza kumuuza beki huyu mwenye uraia wa Senegal.

Hata hivyo, hii siyo mara ya kwanza kwa Koulibaly kuhusisha na kuondoka Stadio San Paolo, lakini mara zote dau lake limekuwa juu kiasi cha kuwakwamisha wanunuzi.
Lakini kwa mujibu Daily Mail, PSG wametiwa moyo na tamko la bosi Gattuso na tayari wapo tayari kuingia mazima kwenye mazungumzo dau likiwa ni £72m.
Manchester City walikuwa mbioni kufukuzia saini hii, kama walivyokuwa wapinzani wao Man United wakati fulani, lakini nia yao ya kumsajili inaonekana kama imekufa.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Janeflora malisa
🔥
Faraja molell
Asante kwa taarifa meridianbet
Ester mmakasa
Wasiwauze wachezaji kwa madau makubwa ili wapate timu za kuchezea.
Antony Luseno
Kutokana na matokeo ya man city kutokuwa mazuri uenda wakawa na asilimia kubwa za kumsajili
magdalena
iyo inaitwa mwenye kisu kikali ndo atakula nyama wa timu itkayokizi vigezo ndo itanyakua saini ya kiungo uyo
Sauda
Kwa hali hiyo, wachezaji inabidi wauzwe kwa kiwango kidogo cha pesa.
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa vizuri wakimsajili kiungo makini huyo
Venerose
Habari njema
Caroline
Labda man city wanataka kumsajili .maana nao wameshuka Sana kiwango
Dorophina
Saiz usajili umeshakuwa kama biashara maana wachezaji wanauzwa kwa madau makubwa
Angelina
Goodupdate
Shani
Koulibaly ni beki ambae napoli inamtegemea hivyo psg na City inabid iwek dau la maana kumngo’a
Hopemwaikuka
Usajil huko so hot
Hidaya
Mambo ya fedha hayo kizuri kinajiuza
jullie
mnatupasha habari mpya
Zeiyana
Tuangalie mahamuzi yake ila akienda man city hitakua vizuri sana
Mwanahamisi
Habari njema
Fatuma kasomo
Gud news
Gabriel
matokeo ya man city kutokuwa mazuri uenda wakawa na asilimia kubwa za kumsajili
Rose kapinga
Mwenye kisu kikali atakula nyama!!
Amiri Kayera
Psg naon kuwa na nguv zaid
Issa
Koulibary anasumbua vilabu vikubwa inabid napoli imuongeze pesa
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Sabrina
Mwenye pesa ndio atampata
felister
aende psg
Adelta
Kizuri siku zote kinajiuza 👍👍
Saupha mohamed
Good news
Mwajumah
Itakua vizuri wakimsajili uyo kiungo makin
Nasra
Itakuwa ngumu
Fatina mfigi
Maamuzi Ni yake il yy ndo anajua aende wapii!!
Elika
Hapo kila mtu anavutia kwake
Khadija
Habari njema
Rehema
Safi
Ernest
Hapa kazi ipo maana wote wanashida na beki
David Pere
iyo inaitwa mwenye kisu kikali ndo atakula nyama wa timu itkayokizi vigezo ndo itanyakua saini ya kiungo uyo