Ronaldo Kutimkia Atletico Madrid Kabla ya Dirisha Kufungwa

Mara baada ya Ronaldo kuwajibu wale wanaomhusisha kuondoka hatimaye sasa huenda ikawa hivyo, kabla ya dirisha kubwa kufungwa mwezi Septemba ambapo anahusishwa Zaidi na Atletico Madrid inayoshiriki ligi ya mabingwa wa Ulaya UCL.

Mshahara wa nyota huyo mwenye umri wa miaka 37 ni kikwazo kikubwa, na ripoti zinaonyesha kuwa sasa ana ushawishi mbaya huko Manchester United, baada ya klabu hiyo kuanza vibaya msimu huu kwa kupoteza mechi zote mbili walizocheza kwa kufungwa jumla ya mabao 6.

Meneja Erik ten Hag amesema Ronaldo hauzwi, lakini msimamo huo ulibadilika siku ya Jumanne na hatimaye klabu ipo tayari kumwachia, na wakala wa mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ureno Jorge Mendes atakuwa na nia ya kutaka kuhamia Atletico Madrid.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.