Samuel Grandsir anataka abakie na afanikiwe akiwa ndani ya klabu ya soka ya AS Monaco ikiwa ni mara baada ya yeye kuwa na muda mzuri akiwa kwa mkopo katika klabu ya soka ya Stade Brestois 29 wakati wa msimu wa 2019-20.
Grandsir alijiunga na klabu ya soka ya Monaco mwaka 2018 akitokea kwa klabu ya ESTAC Troyes, lakini alicheza gemu 12 pekee za ligi ya Ligue 1 akiwa fiti kabisa kabla hajaelekea kwa RC Strasbourg Alsace kwa mkopo wakati wa nusu msimu wa pili wa mwaka huo.
Alishindwa kufunga bao hata moja katika gemu zote alizokuwa fiti kucheza kwa klabu ya Alsatian lakini mambo yake yakawa mazuri huko Brittany ambako alifunga mabao mara tatu na kuongezea assists katika mechi 23 za ligi na kuiweka klabu ya Brest matatani sana.
Akiwa na muda wa miaka mitatu iliyosalia klabuni Monaco katika mkataba wake kwa sasa anaona kabisa ni vyema akiwa kule Stade Louis II, hata kama kuna mpambano mkali sana katika mashindano kwenye nafasi ya kikosi cha Roberto Moreno.
“Ninadhani nimekuwa na msimu bomba sana na kufanya mengi sana uwanjani. Nilikuja hapa Brest kwa mkopo wakati fulani wa kucheza kule lakini bado moyo wangu upo kwa Monaco. Nina muda wa miaka mitatu iliyosalia kucheza ndani ya klabu ile na ninataka nibakie hapo hapo. Ninajua ya kuwa nina sifa zote za kubakia pale,” alisema Grandsir akifafanua kwa gazeti la Ouest France.
“Siyo tatizo ingawa kuna ushindani mkubwa sana kila mahali. Ninapenda ile hali ya kuwa ni muhimu kushindana sana. Hainiogopeshi!”
Gabriel
Good news 👍 & greater player @monaco tnx # meridianbet
Evaluziga
Meridianbettz tunashukuru kwa taarifa
David pere
Abaki tu Ndio sehemu inayomfaaa kwa kiwango chake
Mwanaidi
Abakie tu monaco maana pia ni sahihi yeye kwa upande wake kubaki hapo
Adelta
Asante kwa taarifa #meridianbet
Furahav
Baki tu hapo,ukuze kipaji chako.
Khadija
Abaki tuu ndio sehemu inayomfaa#meridianbettz
Shafii
Apambane hapohapo Monaco kunamfaa
Hamidu
Maamuzi mazuri kwa yeye kubaki Monaco#meridianbettz
Salma
Abaki monaco ni sahihi kwake
Amani
Bora asalie Monaco #meridianbettz
felister
abakie ndo sehemu inayomfaa
Rehema Dickson
Habari nzuri abaki tu anona kuna maslai na anafurah kua apo
Hope mwaikuka
Asitoke monako tu
Ester jackson
Abaki tu hapo Monaco
Theckla
Aendelee tu
Ester mmakasa
Abaki afanye kazi atafanikiwa akiwa hapohapo.
Rehema
Kama vipi asiende tu kwani ni lazima
Lydia Emmanuel Magoti
Habaki tuu apo monaco
Samiah
Kwenda zeke
dorophina
Ni bora abaki tu monaco
mathayo sonje
ni maamuzi mazuri kama anaona atapata mafanikio akiendelea kuitumikia AS MONACO
Neema juma
Apambane tu Monaco
Lombo
fanya chaguo sahh
Antony Luseno
Kama ana furaha klabuni apo basi abaki tu
Zeiyana
Ni maamuzi yake kuchagua sehemu sahii..!
Aziza mushi
Bora ubaki tu Monaco mzee
Magdalena
Baki tu Monaco unastahili kuwapo uko.
#meridianbet
Frank Patrick
Tatizo ni kwamba yupo kwenye mipango ya kochaa?
Genia Sikaluzwe
Ni vema akabaki hapo monaco
mwakalosi
nashauri abakie hapo hapo kwanza
Neema hassan
Yuko sahihi#meridianbettz
Theonestina
Asanteni meridianbet kwa taarifa
Caroline
Sawa
Kenani
Safi kabisa huo ndo uzalendo
Warda
Abaki bwana #Meridianbettz
Juliana
Abaki tu
Ernest
Grandsir anaonekana anamapenzi na anatamani kufanya amakubwa ndani aya Monaco.
Asha
Habari njema#meridianbettz
Elika
Meridianbet mpo vizuri sana kwa taarifaaa
Sadick
Kwa moyo huo wa kijasiri atapata hitaji la moyo wake#meridianbettz
Tatu
Asante kwa taarifa
Povel
Ni maamuz mazur sana kubaki nyuman thnks meridian bet tz
Zeiyana
Asante kwa taarifa