Mwinyi Zahera, Mkurugenzi wa Benchi la Ufundi ndani ya Klabu ya Gwambina FC amesema kuwa Simba hawatafika mbali kwenye michuano ya kimataifa ikiwa watacheza kama walivyocheza na wao.
Zahera aliwahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga msimu wa 2018/18 na 2019/20 alipigwa chini kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni timu yake kuboronga michuano ya kimataifa.
Simba, Septemba 26 ilicheza na Gwambina mchezo wa Ligi Kuu Bara na kushinda mabao 3-0 ukiwa ni mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 usiku.
Zahera amesema kwa namna ambavyo Simba walicheza hamsini kwa hamsini na kama watacheza hivi kwenye mashindano ya kimataifa hawatafika kokote.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Ester mmakasa
Wanatakiwa wafanye vizuri zaidi ya hapo ili wafike ngazi ya kimataifa.
Janeflora malisa
🔥
Faraja molell
Simba waongeze bidii
Antony Luseno
Zahera yupo sahihi kama ni wasikivu ni swala la kulifanyia kazi
magdalena
mh simba wanabidi waongeze juhudi za kutosha ili waweze kufika mbali zaidi
Mwanahamisi
Bora aongeze bidii
Sauda
Simba ni wa kubahatisha tu!!!
Lydia Emmanuel Magoti
Hamna kitu maneno mdomoni tuu ila mpila haujachezwa mpaka wamefika apo ujue Simba wanajimudu na watakabiliana timu yoyote ile ili kuonyesha ushujaa wao nawakiwa na umoja kilakitu kitaenda sawa nawa kubali Simba
Venerose
Watafika tu endapo wakiwa na umoja
Caroline
Simba blah blah nyingi.
Dorophina
Simba kwa sasa wanakikosi kizuri lakini uwanjani amna kitu wasipokuwa makini msimu huu hawatafika mbali
Angelina
Simba wakijipanga watafika mbali
Shani
Simba kimataifa inaweza kufika mbali ila ni uwezo tu wa wachezaji kujituma zaid na wasilew na mafanikio ya ligi watakiwa wajijfue na kupata michezo kirafiki ya kimataifa ili wazoee
Hopemwaikuka
Haya tutafanyia kaz ushaur wako
Hidaya
Ni ushauri mzuri kwa simba sport
Fatuma kasomo
Simba wapo vizuri
Zeiyana
Simba walicho jiaminia wao kusajili mabeki nane ndio wameona washamaliza kazi subiri tuone mwisho wa mchezo ni bora tu ulivyowapa mapema habari zao mwinyi zahera
Gabriel
wanakikosi kizuri lakini uwanjani amna kitu wasipokuwa makini msimu huu hawatafika mbali
Rose kapinga
Maneno tuu hayo na iyo kazi ya utabiri umeipata wapi au ndio njaa za mjini,simba kama simba kelelee nyingi kwa simba akeeeee!!!
Amiri Kayera
Simba kwer ina team nzur Ila inaitaj Zaid kujiandaa vzr
Issa
Simba michuano ya kimataifa haiwz kufika mbali uwezo wa wachezaj walionao ni wa kufua ndani ya ligi si kimataifa zaidi
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Sabrina
Simba wajipange
Adelta
Simba wajipange tena wajipange haswa!
felister
ushauri mzuri
Saupha mohamed
Maneno tu ayo
Mwajumah
Simba wanakikosi kizuri tu sema kikubwa ni kuongeza juhudi na nguvu zaid katika kikosi
Nasra
Simba ni noma
Fatina mfigi
Mmh hay maneno yako tu simba chama kubwa
Elika
Huyo zahera hana jipya hayo ni maneno ya mkosaji tuu
Khadija
Umoja ni nguvu wana simba inabidi washikamane
aisha
Simbaa ndio baba lao hakuna kama simbaaa
Tahiya
Asitafute kiki hapa apambane na hali yake
Ernest
Ngoja tuone Zahera Yanga huyo majungu majungu tuu
David Pere
wanakikosi kizuri lakini uwanjani amna kitu wasipokuwa makini msimu huu hawatafika mbali