EPL: Visa 10 vya COVID19 Vimeripotiwa

Ligi Kuu ya Uingereza – EPL, imeripoti visa 10 vya virusi vya COVID19 katika majibu ya vipimo vya mara ya mwisho.

Matokeo ya visa hivi yametokana na vipimo vilivyofanyika kati ya tarehe 21-27 Septemba ambapo wachezaji pamoja na wafanyakazi takribani 1595 walipimwa.

Idadi hii ni kubwa ndani ya wiki moja kwa msimu huu wa EPL – 2020-2021 ikiwa pia ni ungezeko la visa 7 ikilinganishwa na majibu ya vipimo vya wiki iliyopita.

Idadi kubwa kwa wiki iliyopita kwa msimu huu ilikuwa ni 3 ikiwa ni matokeo ya vipimo vilivyofanyika kati ya tarehe 7-13 Septemba.

Taarifa ya EPL inasema, “Wachezaji pamoja na wafanyakazi waliokutwa na maambukizi ya COVID19, watajitenga kwa muda wa siku 10.”

Kocha wa West Ham United – David United

Katika idadi hii, West Ham United, walitangaza siku ya Alhamisi kuwa kocha wao – David Moyes pamoja na wachezaji Issa Diop na Josh Cullen. Walikutwa na maambukizi ya COVID19 na tayari wameshaanza kujitenga na jamii ya West Ham kwa muda.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

34 Komentara

    Duh corona noma

    Jibu

    Duh habari mbaya.

    Jibu

    Coronavirus sio poa

    Jibu

    Duu irigonjwa ni tishio Sana istoshe linawasili sanasana ngozi nyeupe uko nchi za wenzetu mungu awasaidie alitokomeze iligonjwa La Corona sio poa

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    huu ugonjwa umekuwa changamoto kubwa sana aswa katika nchi za wenzetu ni Mungu tu ndo mtetezi

    Jibu

    Corona ishakuwa Ni shida

    Jibu

    Kwa wapenzi wa soka hii imekua habari mbaya sana kunauwezekano wa kustop ligi idadi imekua ikiongezeka kwa kasi sana

    Jibu

    Corona hatari sana

    Jibu

    Mungu saidia iondoke kabisa.

    Jibu

    Janga kubwa san hil dah mungu nyoosha mkon’ juu ya gonjwa hil

    Jibu

    Idadi inazidi kupunguwa ukilinganisha na mwanzo

    Jibu

    Corona imeleta athar sana

    Jibu

    Corona nuksi

    Jibu

    Corona ni ugonjwa unasumbua San michezon tahadhari inatakiwa ichukuliwe zaid

    Jibu

    Mungu tunusuru na hili janga

    Jibu

    Corona bado ipo tahadhari muhimu

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Corona janga la kimataifa

    Jibu

    Mmh ugonjwa huu nitishio jaman

    Jibu

    Covid19 bado tatzo Epl

    Jibu

    Korona ni tishio

    Jibu

    duh

    Jibu

    Jamaniiiii coronavirus sio poa kabisa mwenyezi mungu awasimamiye

    Jibu

    corona bado tatizo

    Jibu

    Corona nomaa

    Jibu

    Duuh habari mbaya hii

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Covid19 sio poa,maan ishakuwa km natural hazard disease, mungu atupiganie ,awapiganie warud dimbani.

    Jibu

    Covid 19 imekua tishio la dunia

    Jibu

    Corona ni ugonjwa unasumbua San michezon tahadhari inatakiwa ichukuliwe zaid

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.