Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa timu hiyo ina jukumu la kuendelea kushinda kila mechi ndani ya Ligi Kuu England ili kuweza kutetea taji lao.
Liverpool ambao ni mabingwa watetezi wa Kombe hilo usiku wa kuamkia leo waliibuka na ushindi wa mabao 3-1 mbele ya Arsenal inayonolewa na Mikel Arteta kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Anfield.
Arsenal ilianza kuwatungua Liverpool dakika ya 25 kupitia kwa Alexandre Lacazette lilidumu kwa muda wa dakika mbili pekee kwani Liverpool waliweka mzani sawa kupitia kwa Sadio Mane dakika ya 28.
Wakati Arsenal inayomtegemea Pierre Emerick Aubameyang kwenye upande wa kutupia mabao ikihaha kutafuta ushindi ilitunguliwa bao la pili dakika ya 34 na Andrew Robertson na dakika ya 88 msumari wa tatu ulipachikwa na Diogo Jota.

Klopp amesema kuwa ili kuweza kufikia malengo waliyojiwekea ikiwa ni pamoja na kushinda tena taji la Ligi Kuu England kazi yao ni moja kuendelea kushinda mechi zao zote.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Janeflora malisa
Safi sana
Faraja molell
Liverpool ya msimu huu n moto
Antony Luseno
Ligi ndo imeanza tusubirie mzunguko wa kwanza uishe apo ndo tutakuwa na majibu
magdalena
naona klopp anataka wachukue tena taji msimu huu ataki kabismasihara
Lydia Emmanuel Magoti
Hanacho kisema Klopp kipo sahii anataka kuja Tena kivingine kuja kuchukua tena taji ataweza tuu navyo muerewa mzee huyo yupo makini natimu yake
Sauda
Kandanda limeanza, tunasubiri kuona nani atachukua ubingwa?
Ester mmakasa
Kloop anajiamini sana na kwakweli wako vizuri na timu yake.
Venerose
Klopp yupo vinzur kwenye timu yake
Caroline
Safi Sana Klopp endelea kutengeneza mikakati mtetee taji la ubingwa
Dorophina
Klopp msimu huu Nina Imani nae kabisa kombe la kwake maan wameanza kwa speed ya 4G
Angelina
Klopp yuko vizuri
Shani
Ni ngumu sana kwa kuchukua ubingwa mara 2mfululizo kwa ligi yeny ushindani kama epl
Hopemwaikuka
Nawaaminia sana
Hidaya
Klopp anajiamini sana
Zeiyana
Klopp yupo sahii ni kweli Liverpool wanakila sababu ya kushinda ligi zote ukiangalia wanakikosi vizuri
Fatuma kasomo
Safi
Gabriel
tusubirie mzunguko wa kwanza uishe apo ndo tutakuwa na majibu
Rose kapinga
Jitihada zinaitajika kutimiza malengo yenu
Amiri Kayera
Ni mipango mizur Ila ni ngumu
Issa
Kuchukua epl mara 2 mfululizo ni ngumu hasa kwa ligi ya uingereza
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Sabrina
Klopp anamipango ya kutetea ubingwa
felister
anajitahidi kiasi chake ila ligi ndo kwanza imeanza tusubirie tuone mbele itakavyokua
Adelta
Klopp Yuko vizuri kwa Kasi hii lazima achukuwe ubigwa
Saupha mohamed
Klopp yupo vizuri
Mwajumah
Klopp yupo vizuri
Nasra
Klopp yuko vzuri
Fatina mfigi
Namkubali klopp
Elika
Hiyo ndo Liverpool ya mwendo kasi
Khadija
Safi sana
Asia Abdy
Nice
aisha
Kutetea ubingwa kaz maan kila team inakukamia
Ernest
Liverpool wananafasi mkubwa ya kutete ubingwa
David Pere
Hanacho kisema Klopp kipo sahii anataka kuja Tena kivingine kuja kuchukua tena taji ataweza tuu navyo muerewa mzee huyo yupo makini natimu yake