Thomas Tuchel: Sina Mpango na Manchester United

Kocha wa klabu ya Chelsea Thomas Tuchel amesisitiza kuwa anafuraha  kwenye klabu ya chelsea japokuwa kwa sasa hajui hatma ya klabu yake kutokana na vikwazo alivyowekewa mmiliki wake  Roman Abramovich serikali ya Uingereza.

Klabu ya Man Utd mwisho wa msimu wanatafuta kocha ambaye atachukua majukumu ya kuinoa timu baada ya muda Ralf kuisha, na kuhamia kwenye nafasi yake ya ushauri, na United wanataka kutumia nafasi kwa yanaondelea sasa kwenye klabu ya Chelsea ili kuweza kumchukua Thomas Tuchel kuinoa timu hiyo.

Thomas Tuchel
Thomas Tuchel

kutokana na wimbi zito linaloikabili klabu hiyo, Tuchel amesisitiza kuwa yeye atabaki hapo kufanya kazi yake na kuhakikisha timu inapata matokeo mazuri uwanjani msimu huu. “Kwa yanoendelea siku hadi siku, hakuna utatuzi kwa kipindi hiki” alisema Tuchel.

“Kwanza kabisa napenda hapa nilipo, kwa sababu naiona thamani ya mimi kuwa kwenye hii klabu na akili yangu iko sawa hapa. kuna thamani napewa hapa  na najiona kama mwenye bahati, najua ni kwa kiasi gani nahitaji kuwa bora zaidi. Ni thamani kubwa kubwa sana.

“Sijawai kuwa na ukomo wa mkataba wa kiwango cha pesa ninachotumia au kiasi cha pesa, ambacho nahitaji kwa mchezaji, sijawai fanya hivi kwenye klabu yeyote.

‘Najiamini mwenyewe kuweza kuweza kukabiliana na hali yeyote, naamini uwezo wangu wa kuhamasisha timu. nina furaha  kuwa sehemu ya team ya Cobham  na Chelsea.

“Nina furaha sana, na natumai haitabadilika.”


SHAOLIN FORTUNES 100 LADHA YA USHINDI

Maana ya ushindi mkubwa ipo hapa katika mchezo wa SHAOLIN FORTUNES 100 ndani ya kasino maridhawa za meridianbettz. Kwa dau dogo unashinda zaidi, unaweza kucheza mara nyingi uwezavyo huku ukifurahia ladha ya ushindi.

liverpool, Liverpool Kila Mtu Ashinde Mechi Zake., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.