Yanga Yambania Mzize Kwenda Wydad
Makala iliyopita
Gundogan Arejea Manchester City
Makala ijayo
Aston Villa Yamuongezea Mkataba Martinez
Wananchi wameweka ngumu kwa Wydad Casablanca ambapo wanahitaji kiwango cha pesa kiongezeka kama kweli miamba hiyo ya soka kutoka nchini Morocco inamuhitaji Mzize, Kwani klabu hiyo inaamini thamani ya mshambuliaji huyo ni zaidi ya mamilioni hivo wao wanaelezwa kutoka angalau bilioni.