Beki wa Klabu ya Manchester City Oleksandr Zinchenko amesema Kocha wao Pep hakuongea nao jambo lolote baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Lyon.
Pep Guardiola hakuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo kuzungumza na wachezaji wake mara baada ya mechi iliyopelekea kuondolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Lyon.
“Guardiola hakuthubutu hata kuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo, wala hakusema neno lolote baada ya mchezo ule. Kuna nini hasa cha kusema, kama kila kitu kipo wazi?
“Ni aibu kwa David Silva na Claudio Bravo wamecheza mchezo wao wa mwisho wakiwa na Manchester City. Tulitaka kushinda kwa ajili yao.” alifichua Oleksandr Zinchenko.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.
Mwajumah
Asante kwa makala
Sadick
Kwa kikosi cha Man City cha Euro 900 na zaidi ilikuwa aibu kutolewa na Lyon#meridianbettz
Dorophina
Man City walicheza mpira wa kizembe ndio maana wakatolewa
felister
ndo mpira inabidi akubaliane na matokeo ata kama inauma
Ester jackson
Aibu kubwa sana kwa timu kubwa inayoingoza duniani na kushindwa kuendelea kimchezo na kufugwa in kitu cha kawaida tuingawa kunamaumivu ndani yake
Amiri Kayera
Kilichowakuta hawakutegemea walijua Lyon mtelemko
Lydia Emmanuel Magoti
Kwatimu Kama Man City nitimu kubwa Sana kufungwa Lyon sio poa
Tatu
Kuna mda waandishi wa habari wanazingua
Issa
Guardiola ni hatua hiyo inamshindaga sana
Khadija
Asante kwa makala#meridianbettz
Hope mwaikuka
Hakuna jins maana hakutegemea kupata matokeo hayo
Povel
City walicheza chn ya kiwango hakuwa kufauata maelekezo ya mwalimu wao waliopewa uwanjani
Sabrina
Man city walimbwela bhana
Samira
Man city walikua na nafasi kubwa sana wakashindwa kuitumia vizuri
Shafii
Kabra hawajaingia kwenye ile mechi dhidi ya Lyon gurdiola asilimia 90 alijua kombe ni lakwake.
Neema
Alijituliza akili yake. Kakubali matokeo
Furahav
Kufungwa sio kitu kizuri.
Latifa juma mohamed
Asante kwa makala
warda
Huyu nae alijiamini sana ndo mana kapigwa#Meridianbettz
rama
Maoni:man city tageti yao ilikuwa kutwa ubingwa wa uefa kwel
Ernest
Ilikuwa Aibu kubwa kwa Pep kutokana na uzembe wa wachezaji wake, Sio mbaya bado ananafasi ya kujipanga tena
Adelta
Kufungwa sio kitu kizuri
@meridianbettz
Mwanahamisi
Huyo nae kazidi kujiamini ndio maana kapigwa
magdalena
walipata matokeo ambayo hawakuyatarajia ndo maana alikaa kimya kwanza ili ajitafakari
Salma ngende
Pole yake
aisha
Poleni sana ndugu zangu
Gabriel
Pep guardiola inabid aanze kuandaa kikosi mapema maana soon EPL inaanza
Saupha mohamed
Pole sana
Rose kapinga
Nomaaaaa xanaaaa!!!!
David Pere
Aibu kubwa sana kwa timu kubwa inayoingoza duniani na kushindwa kuendelea kimchezo na kufugwa in kitu cha kawaida tuingawa kunamaumivu ndani yake
farida ahmadi
Ni msimu mbaya Sana kwa kikosi cha Manchester City
Rehema
Bonge la makala
Nasra
Asante kwa makala
Zeiyana
Kujikwaa si kuanguka wajipange upya na EPL karibia hinaanza
Caroline
Ila ni aibu kutolewa na Lyon
Samiah
Asantee kwa taarifa
Fatina mfingi
Nomaaa sanaaa