Boss wa Bologna Mihajlovic Akutwa na Corona.

Kocha wa Bologna Sinisa Mihajlovic amepima na kukutwa na virusi vya Corona, Bologna imethibitisha.

Katika maelezo ya klabu hiyo ya Serie A ilisema kocha mkuu “anadalili kabisa” baada ya majibu ya vipimo.

Mihajlovic sasa atazianza wiki mbili za kujitenga na kujitibia kwa kufuata miongozo yote iliyowekwa na taifa la Italia katika kukabiliana na virusi vya Corona.

Bologna pia iliwapima wachezaji wa timu ya vijana na vipimo vilionesha hawajaathirika na virusi hivyo hatari.

Timu ya kikosi cha kwanza na benchi la ufundi watafanyiwa vipimo siku ya Jumatatu.

Mihalovic alikuwa akisumbuliwa na saratani ya damu mwaka uliyopita na alitumia muda mwingi kuwa mbali na benchi la Bologna na alifanyiwa upasuaji na kupandikizwa mifupa sehemu ya maungio ya goti.

Aliongeza kandarasi na timu hiyo mktaba utakao fikia tamati mwaka 2023 mwezi Juni.

Msimu mpya wa Serie A 2020-21 utaanza mwezi Septemba 19 ikumbukwe kuwa Bologna ilimaliza katika nafasi ya 12 msimu uliyopita kwa kujikusanyia alama 47 kwenye michezo 38. Je msimu huu wataleta ushindani kunako Serie A?.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

38 Komentara

    Pole sana mungu akufanyie wepesi urudi tena kwenye majukumu yako

    Jibu

    dah corona jamani mpaka lini

    Jibu

    Pole sana mihajlovic get well soon

    Jibu

    Dah Corona bad t inasumbua Kwa wenzet

    Jibu

    corona sasa bac#meridiambettz

    Jibu

    Pole yake korona ina tisha sana

    Jibu

    Daa corona sio poa

    Jibu

    Pole sana mungu atakusaidia

    Jibu

    Get well soon Boss

    Jibu

    Duh majAnga kwl mungu atusaidie

    Jibu

    Sanisa Mihajlovic ni moja ya wachezaji walioitwa kizazi cha dhahabu cha iliyokuwa Yugoslavia ya zamani na tayari mwaka jana alifanyiwa upasuaji kutokana na Leukemia#meridianbettz

    Jibu

    Mungu amjalie amponye na maradhi.

    Jibu

    Gonjwa balaa hili

    Jibu

    Corona tena!!

    Jibu

    Duuh pole Sana

    Jibu

    Yeruuuuuu!!!!!!! Corona hii bado ipo#Meridianbettz

    Jibu

    Yeruuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Corona hii bado ipo#Meridianbettz

    Jibu

    Maoni:pole sana atakuwa sawa tu

    Jibu

    Habari mbaya sana kwa wapenzi wa soka na timu ya Bologna

    Jibu

    Huu ugonjwa Ni hatari sana tumwombe MUNGu atusaidiye@meridianbettz

    Jibu

    huu ugonjwa ni Mungu tu mtetezi wa yote

    Jibu

    Duh!!!

    Jibu

    Duun majanga pole sana kwa kuugua corona

    Jibu

    Duuu atali corona

    Jibu

    Habar ya kusikitisha sana kwa club ya bologna kwamba kocha wao Sinisa Mihajlovic kukutwa na corona mwenyez MUNGU amsaidie apone

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake ila afate masharti tu

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole Sana utapona tuu,mungu akusimamie!!!

    Jibu

    Sanisa Mihajlovic ni moja ya wachezaji walioitwa kizazi cha dhahabu cha iliyokuwa Yugoslavia ya zamani na tayari mwaka jana alifanyiwa upasuaji kutokana na Leukemia

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Duuuh pole

    Jibu

    Bado tuna wakati mgumu sana wa kuzibiti mlipuko huu wa ugonjwa wa korona

    Jibu

    Pole Sana ilo ni janga la Dunia

    Jibu

    Duh poleni

    Jibu

    Pole

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.