Whyte: Sijutii Kupoteza kwa Povetkin nataka Marudiano.

Dillian Whyte amesisitiza kwamba ” mimi bado ni moja ya wapiganaji wa juu kwenye mashumbwi uzito mkubwa” baada ya kupoteza pambano lake dhidi ya Alexander Povetkin na ameahidi kulipiza kwa gemu ya marudiano.

Tizama pambano lote hapa

Whyte alimdondosha Povetkin mara mbili lakini alipigwa ambakati (uppercut) na kuanguka chini katika raundi ya tano tuu na kupunguza fursa ya kupambana na Tyson Fury katika ubingwa wa WBC.

Aliulizwa kama alifanya makosa kukubali dili ya kuzichapa na Povetkin badala ya kusubiri pambano lake na Tyson Fury la kuwania mkanda, Whyte alijibu Sky Sport News kwamba “Sijutii kabisa.”

“Lilikuwa pambano kubwa na Povetkin amefanya vizuri, najua naweza kumpiga nilionesha kuanzia raundi ya kwanza, kiukweli Povetkin anauzoefu sana na ndondi.

“Nilimdondosha mara mbili lakini aliniotea na moja ya konde lake bora katika historia ya mapambano yake. hiyo ndiyo ndondi kuna tambo nyingi, kupanda na kushuka kupoteza na kushinda.

Povetkin akiwa chini baada ya kudondoshwa na Whyte

Juu ya Knockout aliyopigwa Whyte alisema: Lilikuwa ni kosa dogo tu nimefanya, sababu ile ngumi aliyorusha na kutua kwangu nilishaifanyia mazoezi na kuipangua kama mara 100, nilipaswa kuzuia lakini nilichelewa.

“Bado sijabadilika, nipo tayari kurudi hapa kwaajili ya marudiano

“Ni mtu hatari sana, nilikuwa namchukulia poa nilihisi ningeshinda mapema lakini kila raundi nilikuwa namzidi point, nimejifunza kitu nahitaji pambano la marudiano.

Promota Eddie Hearn alisema: “Kitu cha kwanza Whyte kukisema kilikuwa: “naomba marudiano, naomba marudiano.

“Tutajaribu kuangalia hilo kabla mwaka huu haujamalizika na litakuwa pambano kubwa.

Bingwa wa IBF,WBA na WBO uzito wa juu na aliyewabutua wote Whyte na Povetkin, Antony Joshua alipoulizwa kuhusu Kupoteza kwa KO kwa Dillian alisema: Je, Dillian bado anatambo kuhusu Povetkin? kwa sababu pambano liliitwa “vita kali “

“Wakati alipopata nafasi ya kumpiga, nilitaka kuona ukali wa vita ile.” 

“Unajua nikihisi harufu ya damu kwenye pambano huwa nataka kwenda kumtoa mtu lakini ukifanya hivyo unaweza kukamatwa” 


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

41 Komentara

    Lilikuwa pambano kubwa na Povetkin amefanya vizuri, alikuwa anaweza kumpiga alionesha kuanzia raundi ya kwanza, kiukweli Povetkin anauzoefu sana na ndondi.

    Jibu

    Sisi Kama mashabiki tunaomba pambano lirudiwe@meridianbettz

    Jibu

    Bora warudiane tu#Meridianbettz

    Jibu

    Bora warudiane tu #Meridianbettz

    Jibu

    Wabongo tunasema Mwanakulifind Mwanakuliget

    Jibu

    Dillian whyte akubaligi kushindwa hata kama kapigwa pambano lazima lilidiwe na mpizani wake Alexander ajipange

    Jibu

    Maoni:mhhhh ngoja tusubili tuone kwel ataweza

    Jibu

    Waswahili wanasema asiekubali kushindwa asio mshindani ila kunamasemo unaasema kuteleza sio kuanguka Kazi kwake yeye kams kaamua asikate tamaa amaweza akapata ushindi

    Jibu

    Sisi Kama mashabiki tunaomba pambano lirudiwe@meridianbettz

    Jibu

    warudiane tu#meridianbettz

    Jibu

    asiyekubali kushindwa si mshindani

    Jibu

    Bora warudiane tuu

    Jibu

    ata wakifanya marudiano hawezi kubadili matokeo

    Jibu

    Whyte amejipanga upya anataka kumchakaza mtu kisawa sawa

    Jibu

    Anajipa moyo

    Jibu

    Kupigwa kupigwa tuu hata kama wakirudia haiwezi kufuta matokeo yaliyopatikana

    Jibu

    Bora ukaushe mana utakufa.

    Jibu

    Sasa inaanza kuwa desturi kila anayepoteza pambano anaomba kurudiana, tumeona Joshua vs Ruiz,Willder vs Tyson Fury na sasa huyu nae anataka pambano lirudiwe#meridianbettz

    Jibu

    Waludiane tu . tuone jeuri yake

    Jibu

    Whyte ngumi jiwe hatari huyu jamaa

    Jibu

    Hili pambano nilijua tu Povetkin atashindwa maana natambua uwezo wake

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Whyte ni mpiganaj anaejiamini

    Jibu

    Imeisha hiyo

    Jibu

    Gud upadate

    Jibu

    Mmh! Kubal tu yamekushnda

    Jibu

    Never loose hope

    Jibu

    Imepita hiyo

    Jibu

    Asiekubal kushindwa sio mshindan!!!

    Jibu

    Pambano lilikua la mvuto wa aina yake ila tunabaki kusema mkongwe ni mkongwe tu.

    Jibu

    Asiyekubal kushindwa Sio mshindani

    Jibu

    Sasa inaanza kuwa desturi kila anayepoteza pambano anaomba kurudiana, tumeona Joshua vs Ruiz,Willder vs Tyson Fury na sasa huyu nae anataka pambano lirudiwe

    Jibu

    Hanaweza kweli ngoja tujionee tena

    Jibu

    Imepita hiyo

    Jibu

    Bora mpambano urudiwe

    Jibu

    Jamaa anajiamini sana

    Jibu

    Bado hajaonekana nani mjinga kwa mwenzio likirudiwa hitakua vizuri

    Jibu

    Ha ha ha angalia usipigwe tena

    Jibu

    Awe makini tu

    Jibu

    Awe makinitu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.