Mchezaji nyota wa Manchester United – Paul Pogba anatarajia kuendelea kusalia katika kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer msimu huu.
Baada ya kuwa na taarifa kwamba huenda kiungo huyo akaondoka katika dirisha hili la usajili, wakala wake – Mino Raiola amenukuliwa akisema mchezaji huyo haondoki Manchester United majira haya.
Pogba haondoki Manchester United kipindi hiki cha usajili.
“United hawatopokea ofa yoyote kwa kipindi hiki. Tutaanza mazungumzo ya mkataba mpya siku sio nyingi, hakuna shaka.” Mino Raiola ameiambia Sky Sports.
“Ni mchezaji wa muhimu kwenye kikosi cha Man United, wanamipango mizuri inayokuja na Pogba anahusika kwa 100%.”
Pogba alisajiliwa kwa ada ya pauni milioni 89 akitokea Juventus mwaka 2016. Msimu uliopita haukuwa mzuri kwake kutokana na majeruhi na hivyo alicheza mechi 8 tu kabla ya msimu kusimamishwa.
Tangu kurejea kwa msimu wa EPL, Pogba alicheza mechi 14 akiisaidia United kufika hatua ya nusu Fainali ya FA na Europa pamoja na kumaliza katika nafasi ya 3 kunako EPL. Mkataba wake utamailizika msimu ujao majira ya kiangazi na hivyo kama atasaini mkataba mpya, itakuwa ni jambo jema kwake na United kwa ujumla.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


warda
Tunamuuzaje sasa Pogba wakati tunamtegemea hauzwi mtu hapa#Meridianbettz
Sabrina
Pogba kawa mchalo Man u hawawezi kumuondoa hapo
Khadija
hatauzwaje pogba jamani mbona hivo#meridianbettz
rama
Maoni:vizuri sana pogba endelea kubaki man united
Adelta
Pogpa Ni mchezaji mzuri Manchester hawawezi kukubali aondoke kwa sababu Ni jeshi@meridianbettz
felister
ni mchezaji mzuri katika kikosi cha man u sio rahisi kuuzwa
Mwanahamisi
Bora pogba abaki man u
Tatu
Pogba awezi kuondoka man kwa sasa kwani anamchango mkubwa sana ndani ya club hiyo
magdalena
ata iweje unitedi jeuri ya kumuuza pogba ni ngumu
Lydia Emmanuel Magoti
Man U watanzaje kumuuza Pogba kwamfano Man U awawezi kumuuza Pogba kwasababu ana mchango mkubwa Sana napia anasaidia Sana Man U kwaio ilojembe pale Man U an’goki pale
aisha
Inabidi aendeleee kubaki man u ili aendelee kukipiga
Salma ngende
Afadhali abaki tu
Furahav
Baki tu hapo.
Sadick
Sikurajia kusikia maneno haya toka kwa wakala mpenda fedha kama Mino. Pogba alijiona star kuliko timu kabla ya kuja Bruno Fernandez na kufunika kivuli chake#meridianbettz
Ernest
Inawezekana huu ndio ukawa wakati sahihi kwa Pogba kufanya maamuzi juu ya Maisha yake ya soka
Saupha mohamed
Pogba abaki tu man u
Issa
Pogba ana nafas kubwa mbele ya ole hivyo suala la kuondoka ni gumu
Gabriel
Man u waoga sana 👍
Fatuma kasomo
Mchezaji mzuri
Shan
Pogba ni Mali ya united tu
Theckla
Abaki tu
Povel
POGBA not for SALE in United
Hope mwaikuka
Haya nimefurah kusikia hvyo
Amiri Kayera
Zam ya man u kulinga safii
Rose kapinga
Pogba jembee la man u!!!!
Genia Sikaluzwe
Ni vema akabaki hapo
jullie
ni sawa tu
Shafii
Ni jambo la kufurahisha kwa wana man u.
Theonestina
Abaki tu
David Pere
Ni mchezaji wa muhimu kwenye kikosi cha Man United, wanamipango mizuri inayokuja na Pogba anahusika kwa 100%.”
farida ahmadi
Pogba hawezi kuondoka Manchester United
Rehema
Abaki tu
Dorophina
Pogba hawezi kuondoka man u bado anamchango mkubwa sana pale
Sauda
Pogba kisiki
Tahiya
Ni habari njema izo kwa mashabiki
Zeiyana
Habari njema kwa mashabiki wa man u
Caroline
Pogba hawezi kuuzwa
Nasra
Abaki tu man U
Samiah
Abakitu Man U
Ester jackson
Inawezekana huu ndio ukawa wakati sahihi kwa Pogba kufanya maamuzi juu ya Maisha yake ya soka
WAZIRI
Abakitu jembe lng Pogba