Luis Ortiz Achomoa Dili la Kuchapana na Joshua

Anthony Joshua anatarajia kuwa na pambano lake la kwanza kabisa nchini Marekani mwezi June, staa huyu alikuwa amepangiwa kupambana na Jarrell Miller kwenye pambano hilo pale Madison Square Garden. Luis Ortiz alitarajiwa kuwa mbadala wa Miller.

Miller alinyimwa kibali na baada kugundulika kama alijihusisha na matumizi yasiyo sahihi ya madawa. Luis Ortiz, mpiganaji kutoka Urusi amechomoa ofa ya kupambana na bingwa huyu kutoka Uingereza, King Kong Boxing wanaisisitiza kuwa promota wa wa Anthony Joshua anamtumia Ortiz kwa ajili ya kiki.

King Kong Boxing wanasema ofa kama ile haiwezi kupokelewa kwao na hawawezi kushiriki kwenye kwenye dili hili la June.

Mpinzani mpya wa Anthony Joshua anatarajiwa kutangazwa wiki hii huku Joshua akiendelea na maandalizi ya pambano. Wapiganaji 8 wanatajwa kuwa kwenye orodha ya wanaoweza kuwa mbadala wa Miller, wanaoangazia sana walikuwa ni pamoja na Ortiz, Adam Kownacki and Michael Hunter.

2 Komentara

    Michezo ya ngumi huwa naipenda sana.

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.