Wachezaji 4 Wanaoshiriki Ligi Ya Mexico(LIGA MX) Wakutwa na Corona

Liga MX, huko Mexico 🇲🇽 imetangaza kuwa jumla ya wachezaji wanane wa Klabu ya Santos Laguna wamepatikana na ugonjwa wa coronavirus… Ligi hiyo ilithibitisha habari hiyo jana Jumatano jioni kwani kesi za coronavirus nchini kote zimeongezeka.


Mexico imethibitisha karibu kesi 55,000 na vifo 5,666 hadi sasa… Hakuna mchezaji hata mmoja kati ya waliokutwa na Virusi vya Corona (COVID19) ametajwa jina lake, ingawa ligi ilithibitisha kuwa kila mmoja kati ya wanane hao ni wazima kabisa kwa Afya zao.

Habari zinakuja wakati Liga MX inaendelea kutatua jinsi ya kushughulikia kurudi kwa mechi za ligi, na vilabu kadhaa vimetakiwa kupendekeza tarehe ya kurudi kwa ligi.. Liga MX imesimamishwa tangu Machi 15 na mechi 10 tu zilizochezwa katika Clausura hadi sasa.

Uongozi wa Ligi umepanga kukutana Ijumaa kujadili njia ya kusonga mbele kwa ligi, na ikiwa msimu ufutwe ni jinsi gani ya kumpata bingwa.

47 Komentara

    Hali ya hatari hii kwa mexico maana namba ya wagonjwa inazidi kupanda

    Jibu

    Hapo waswahili wa Buza tunasema supu imetiwa nazi! Wachukue tahadhari lakini ligi ianze na maisha mengine yaendelee #Meridianbettz

    Jibu

    Hapo Ndio patamu Sasa sijui Hawa wa kwetu wakipimwa watakosekana kweli

    Jibu

    Tumwombe mungu atusaidiye

    Jibu

    Jamani Mungu awaponye

    Jibu

    Si habari kwao na kwa mashabiki

    Jibu

    Tumuombe mungu awaponye

    Jibu

    Poleni sana mexico.

    Jibu

    Mwaka huu na hili janga la corona mambo mengi yamekwama sio tu katika soka

    Jibu

    Habari mbaya kwa wachezaji na kwa mashabiki pia

    Jibu

    polen sana huko ndugu zetu

    Jibu

    Habar ya kusikitisha sana

    Jibu

    Tuombe mungu awasaidie

    Jibu

    mexco poleni sana ila msiache kufanya maombi au ingekua tz nyungu ingehusika

    Jibu

    Allah awajalie afya

    Jibu

    duuh hapo dua inahusika wapate kupona waendelee na mpira#meridianbettz

    Jibu

    Natumai ipo siku tutaisahau hii corona.mungu awasaidie huko nchini mexico

    Jibu

    Mchakato wa kurudisha league utakuwa mgumu hapa labda hao wengine wapone mapema.

    Jibu

    Mungu atafanya wepesi juu yao

    Jibu

    Inabidi mexico wachukue tahadhari

    Jibu

    Mmmmh mmmmh! Ugonjwa hatari sana, tahadhari ifuatwe

    Jibu

    Maisha lazima yaendelee ila tahadhari lazima

    Jibu

    Mchakato wa kurudisha league utakuwa mgumu hapa labda hao wengine wapone mapema.#meridianbettz

    Jibu

    Daa corona inaogopesha Sana kikubwa kumuomba mungu ilogonjwa liishe

    Jibu

    Ina vunja mioyo ya wachezaji kweli..!wachezaji wanapitia maisha magumu sana nisawa ulazwe hospital alafu mgonjwa mwenzio hafe..!

    Jibu

    Dah noma sana

    Jibu

    Duu! Janga hili. Ni hatari …kujikinga ni muhimu .#meridianbettz

    Jibu

    Kwake hakuna kubwa so tuendelee kuomba tu ugonjwa utaisha

    Jibu

    Cha umuhimu apo no kuchukua tahadhali tu

    Jibu

    Duuh! Itaisha tuu corona na watu wataendelea namipango yao ya maisha.

    Jibu

    Cha msingi ni kuchukua tahadhali na kumwomba Mwenyezi Mungu hamna namnaa

    Jibu

    Duh hatar Sana Mungu awatetee #meridianbet

    Jibu

    Mungu atawaponya

    Jibu

    Hili la kurudi kwa league yao limeanza kuwa gumu

    Jibu

    mwenyezi mungu tuondolee hili gonjwa jamani

    Jibu

    Mungu awaondoshee hili gonjwa wana mexico wote

    Jibu

    Mungu awasaidie

    Jibu

    daa mungu awasaidie

    Jibu

    Covid 19 ni balaa mungu awaponye duuh

    Jibu

    Mungu awasaidie wapone

    Jibu

    Siyo Poaw huu ugonjwa mungu awaponye

    Jibu

    Poleni sana m/mungu atawafanyia wepesi

    Jibu

    Da majanga chamuhimu kuomba mungu azidi kututetea

    Jibu

    Duuuh hatari sana

    Jibu

    Hii COVID19 nishidaa ni kumuombaa mungu

    Jibu

    Hili kanga linapita tu kila kitu kutakua sawa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.