Arsenal inatarajiwa kuanza mazungumzo na wakala wa kiungo wa kati wa Barcelona Phillipe Coutinho.
Mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 27 amehudumia msimu wote akiwa kwa mkopo katika mabingwa hao wa Ujerumani Bayern Munich, lakini klabu hiyo haiko tayari kulipa paundi milioni 105 za Uingereza ili kufanikisha mkataba wa kudumu.(Le10sport – in French)

Paris St-Germain inafanya mazungumzo na Arsenal katika jaribio la kumsaini mashambuliaji wa klabu hiyo Pierre-Emerick Aubameyang, 30, for £34m. (Todofichajes)

Mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, 32, huenda akarudi katika ligi ya premia baada ya uhamisho wake wa mkopo katika klabu ya Chelsea – Newcastle na Wolves zote zinamwania. (Express)
Mshambuliaji wa klabu ya RB Leipzig Timo Werner, 24, amehusishwa pakubwa na uhamisho wa kujiunga na Liverpool lakini aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Manchester United Owen Hargreaves anahisi kwamba uhamisho wa klabu hiyo ya Old Trafford ungekuwa bora zaidi kwa mchezaji huyo. (Star)
Mshambuliaji wa Wolves Raul Jimenez, 29 mwenye thamani ya £57m, ananyatiwa na Manchester United, Arsenal na Real Madrid. (Tuttosport – in Italian)
Mshambuliaji wa Bournemouth Joshua King, 28, analengwa na klabu sita zilizopo katika uongozi wa ligi ya Premia baada ya ombi la dau la paundi millioni 20 katika siku ya mwisho ya uhamisho kukataliwa mnamo mwezi Januari. (Mirror)
Juventus inataka kuipiku Real Madrid katika ununuzi wa mshambuliaji wa Borussia Dortmund Erling Braut Haaland, 19, katika uhamisho wa dau la £67m. (Tuttosport – in Italian)
Barcelona iko tayari kumuuza mashambuliaji wa Ufaransa Ousmane Dembele, 23, kwa dau la £37m. Klabu hiyo ya Uhispania ililipa £137m kumnunua raia huyo wa Ufaransa miaka mitatu iliopita lakini ameanzishwa mara tano pekee kufuatia msururu wa majeraha. (Mirror)
Winga Adama Traore, 24, ameshauriwa kuipuuza hamu ya Liverpool na kusalia katika klabu ya Wolves kwa msimu mwengine na mchezaji wa zamani wa Sheffield United Michael Brown. (Star)



aisha
ahsanteni meridian ber kwa taarifa
Mwanaidi
Asanten kwa taarifa #meridian
Kenani
Tuko pamoja
Tahiya
Asante kwa kutujuza
Magdalena
Coutinho ni mchezaji mzuri Sana
Devotha
Asante #meridianbettz kwa taarifa
David pere
Meridianbet mpo vizuri kwenye taarifa zenu kweli
Rehema Dickson
Meridian asante kwa habari
winfrida
philipe yuko vizur sana
Shafii
Habari ya arsenal kutaka kumsajiri Philippe iko poa
Samiah
Shukrani kwa taarifa
Ester
Asante kwa habari
Rehema Dickson
Habari nzuri wahusika tumeipata
Hamidu
Safi kwa habari nzuri za michezo#meridianbettz
Gabriel
Habar njema# meridianbet
Povel
Thnks meridian bet kwa update#
Hope mwaikuka
Iko gud
Juliana
Asante kwa taharifa
mwakalosi
bora zibaki tetesi
Devotha
Asante kwa taarifa
Povel
Thnks kwa update za michezo na burudani
Mwanahamisi
Habari njema
Amani
update za michezo na burudani Zina patikana meridianbettz
Zeiyana iddi
Arsenal..! Wameshuka sana viwango so bado mnakazi ngumu sana ya usajil
Neema juma
Mnanielewesha vyema kabisaa
Mwajuma
Habari njema kwa wadau wasoka
Elika
Meridianbet mko vizuri kwa taarifa
christopher
Auba to PSG , balaa hili kwa thr gunners kwa sababu ndio striker tegemezi
frank patrick
tetesi nzuri sana
Evaluziga
Asanten meridian kwa taarifa
Agness
Tunashuru kwa taarifa meridian
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
Asha
Thnks meridian kwa information
Shafii
Phillipe kutua arsenal ni habar nzur
Adelta
Asante kwa taarifa#meridianbet
dorophina
Asante kwa taarifa
Carolyne
Asanteni
Ernest
Aksante Meridianbet kwa kutuhabarisha
Kenani
Yuko pamoja
Kenani
Tuko pamoja
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Swai
Tetesi nzuri kabisa
Neema hassan
Asante kwa habari za michezo na burudan#meridianbet
Asia Abdy
Philipe fundii
Lombo
habar njema ni mda wa vilabu
Furahav
Timo yuko vizuri.
Lydia Emmanuel Magoti
Asantee kwatarifa meridian
Khadija
Ahsante kwa taarifa meridian#meridianbettz
felister
ahsanteni meridian kwa kutujuza
Theckla
Nimewasoma
Tatu
Asante kwa taarifa