Azam Complex Itaanza Kutumika Katika Mwendelezo wa Ligi Kuu

Uwanja wa Azam Complex-Chamazi unaanza kutumika rasmi leo baada ya kufanyiwa marekebisho. Utaanza kutumiwa na klabu ya Azam ambayo itaanza mazoezi yake kuanzia saa 10 jioni kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu.

Azam Complex

Azam ambayo kwa sasa inamzidi yanga kwa alama tatu ikiwa na jumla ya alama 54 na yanga ikiwa na alama 51, huku kinara wa ligi kuu Tanzania bara Simba ikiongoza ligi hiyo kwa alama 71

“Leo klabu ya Azam inaanza mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na kurudi kwa ligi, tulikuwa tuanze mapema lakini tukasitisha mpango wetu kwa sababu Bodi ya Ligi ilituambia tusubiri mwongozo toka kwao”-Zaka Zakazi, afisa habari wa Azam FC.

“Tayari Bodi ya Ligi wameturuhusu kuanza na leo tunaanza mazoezi yetu rasmi kwenye uwanja wetu wa Azam Complex.”

Wachezaji watapimwa afya kwanza kabla ya mazoezi ambayo yatasimamiwa na kocha msaidizi Vivier Bahati akisaidiwa na Idd Abubakar (kocha wa makipa) ambaye atakuwa akikaimu kama kocha msaidizi.

44 Komentara

    Habar Safi hiyooo

    Jibu

    Habari njema bora na Tanzania ligi zirudi

    Jibu

    Guud news

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Harari nzuri sana kwa mashabiki jamani

    Jibu

    Mko vzr

    Jibu

    Safi sana meridianbet kwa taarifa njemaa

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

    Habar nzuri

    Jibu

    Karibu VPL!!

    Jibu

    Soka lirudii kuchangamke

    Jibu

    Dalili ya mvua ni mawingu! karibu ligi kuu TZ#meridianbettz

    Jibu

    Habari njema Sana ndo wakati tuliokuwa tunausubiri kwa hamu

    Jibu

    Mji utachangamka

    Jibu

    Taarifa njema kwa wapenzi wa soka

    Jibu

    Ni habar njema kwa wadau wasvpl

    Jibu

    Itakua vzur

    Jibu

    Azam fc wanatisha Sana uwanja wao Sasa upo vizuri

    Jibu

    Habari nzuri na uwanja mzuri pia

    Jibu

    Karibu VPL!!

    Jibu

    Habari njema kwa wa Tanzania

    Jibu

    Muko vizur sana

    Jibu

    Habar njema sana # meridianbet

    Jibu

    Mmetisha sana

    Jibu

    Habari njema kwa wapenz wa soka…

    Jibu

    Mko vizur

    Jibu

    Nimeipenda hiyo

    Jibu

    hii imekaa poa sana kupunguza ghalama sa usafiri

    Jibu

    Safiiii sana hiyoo

    Jibu

    daaah wachezaji wa azam wanajivunia safi sana

    Jibu

    Jambo la kheri kwa azam fc maana mapato yataongezeka

    Jibu

    Hiyo ni habari njema kwa wapenda michezo

    Jibu

    Muko vizuri sana

    Jibu

    Azam ndugu zake Simba #Meridianbettz

    Jibu

    Asanteni meridianbettz kwa taarifa

    Jibu

    habar mzur mambo n moto

    Jibu

    Safi sana.

    Jibu

    Safii sana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi nihabari njema

    Jibu

    safi habari nzuri nimeipenda iyo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.