Bahati Mbaya kwa Nathaniel Clyne Kuwepo Liverpool

Liverpool wametangaza kwamba mkataba wa beki wa kimataifa wa England Nathaniel Clyne na klabu hiyo hautoongezwa upya. “Kila mtu angependa kumshukuru Nathaniel kwa huduma yake na kumtakia kila la kheri katika kazi yake ya baadaye,” Liverpool ilisema katika taarifa.

Beki huyo kulia, ambaye kaitumikia England mara 14, ataondoka katika klabu hiyo ya Anfield baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa sasa Juni 30, akiwa hajacheza mechi hata moja msimu huu… ndio mwisho wa miaka mitano, ambayo amecheza mechi 103, ingawa mechi 10 kacheza katika misimu mitatu iliyopita iliyokuwa na majeraha kwake.

Clyne alijiunga na Liverpool mnamo Julai 2015 kwa ada ya pauni milioni 12.5 kutoka Southampton, akisaini mkataba wa miaka mitano na The Reds na mwanzoni alikuwa vizuri kwani alicheza mara 52 kwenye msimu wake wa kwanza,.

39 Komentara

    Kila LA kheri uko aendako na pia ahsante kwa ushirikiano wake apo Liverpool

    Jibu

    Habari mbaya kwa mashabiki wake! Ila uwezo unao nenda katafute changamoto nyingine#meridianbettz

    Jibu

    Safii Sana kirakheri andapo kwenyesafali yake ahiyanzayo Tena kwenye upambanaji

    Jibu

    Kinacho wakosti wachezaji wengi ni majereha ya mara kwa mara na kuwatoa katika pafomansi yao Clyne alijiunga na Liverpool 2015 mpka 2020 kwa mkataba ya miaka 5 sio poa lakini kisha baraa alikuwa fiti mchizi alikuwa anapandisha mashambulizi baraa ila sio mbaya kama Liverpool wanamtema atapata timu nzuri tu sina wasi kwa uwezo wake

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Amepewa nafasi kashindwa kuitendea

    Jibu

    Kila lenyemwazo huwa Lina mwisho kirakrheri ahsant kwa ushilikiano wako hapo Liverpool

    Jibu

    Nenda tu kajalibu sehemu nyingine,Mana maisha popote.

    Jibu

    Kila la kheri kaka huko uendapo pia tunakutakia kazi nyema

    Jibu

    kila la kheri

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Safari njema

    Jibu

    Ametumikia vyakutosha mpaka Liverpool sasa wanachukua ubigwa ni ushirikiano wakweli na kwa kila timu hasaivi huwa wachezaji wengi wanaonekana viwango vyao viko chini kwa sabababu ya majeraha ukizingatia tukapatwa na janga la corana watu wakapumzika bila mzoezi yakutosha hivyo wanaonekana wako chini ya kiwango na kupelekea kuuzwa kwenye mechi nyingine ila clyen yuko vizuri .

    Jibu

    Safari njema#meridianbettz

    Jibu

    Liverpool itabid wamtafute mbadala wa Nathaniel clyne maana kwa wapenz wa soka tunatambua uwezo wa beki huyu kuwa alikuwa n muhimil hivyo kutomuongezea mkataba imekuwa na pengo kubwa sana

    Have a great update 👍
    #meridianbettz

    Jibu

    Jmn kweli ana bahati mbaya

    Jibu

    Cylne kweli alifanya kazi kubwa sana miaka kadhaa kwenye kusaka ubingwa lakini hawakuwa na Bahati

    Jibu

    Pole sana! Kila la heri uko uwendako

    Jibu

    YNWA kop go and do something there you go

    Jibu

    Maisha popote atafanikiwa kwingine

    Jibu

    Ameifanyia vyema Liverpool… Safari njema

    Jibu

    Anauwezo mkibwa ila hizo ni changamoto tuu

    Jibu

    Bado umri unaruhusu kupata changamoto mahali pengine#meridianbettz

    Jibu

    Jamani Wamemuona Kama Mzigo#Meridianbettz

    Jibu

    Kila la kheri Liverpool wanataka kuendelea na moto wao mpk msimu ujao

    Jibu

    Maoni:kila la kheri brooh umewatumikia vya kutishaaa

    Jibu

    Kiwango kimeshuka ndo Mana wameshndwa kumsajili

    Jibu

    Bahati popote ila kila kitu kinatokea kwa sabubu asikate tamaaa

    Jibu

    Hata Kama hawatamuongezea mkataba lakini medali ya EPL ameivaa

    Jibu

    dah sad moment kwake ila kavaa medali ambayo Steven aliisumbukia katika kipindi chote

    Jibu

    Kila la kheri kwake na huko aendako

    Jibu

    Kila la heri

    Jibu

    Habari mbaya kwa mashabiki wa Liverpool..!

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Kila kheri

    Jibu

    Mda wa kuchambua mchele na pumba

    Jibu

    Nenda kajaribu ili mladi kuwa na maslahi nako

    Jibu

    Kila la kheri Liverpool

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.